Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Kejeli ile mkuuUtakuwa huvijui vyeti wewe
Kejeli ile mkuuUtakuwa huvijui vyeti wewe
Si useme tu ni Bashite!Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.
DIV I Pts 8Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
Wasomi wa Europe na America wapo vzuri wamefaulu shule na maisha pia lkn wasomi wa Africa hovyo tu jitu liba PHd ya kemia lkn kutwa kwa waganga ambao hata kusoma hawajuiHao vilaza wanajifariji tu! Hafahamu kama wasanifu wa majengo wanatengenezwa pale ARDHI UNIVERSITY!
Linalilia magari tu lakini halijui hata magari yanatengenezwaje.
Unaonyesha Cheti una div 1 halaf amin life sio poa unakuta upo nyuma kimaendeleo kuliko yule mwenye 3 na 4Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
No Research No Right to Speak. Usifanye watoto waache kusoma kwa hii kauli yako isiyo na mashiko, kwan waliosoma hawajafanikiwa?! Au unahisi waliofanikiwa wote walikuwa wajinga darasani!?!!Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.
Sihamasisi watu kutokusoma hata kidogo!!. Nimeuliza swali na kama ulikuwa huwezi kujibu ungepita kimya.No Research No Right to Speak. Usifanye watoto waache kusoma kwa hii kauli yako isiyo na mashiko, kwan waliosoma hawajafanikiwa?! Au unahisi waliofanikiwa wote walikuwa wajinga darasani!?!!
Maisha yamempiga balaa mpk kaamua arudie kuangalia vizuri cheti chakeUlijitahidi mkuu !!! Vipi maisha nayo umepiga A & B ?!
Hiyo ndio ID yake fekiMbona kimefanana na Cheti feki cha bashite
Hizi ni fikra potofu, elimu ina maana zaidi ya utajiri wa pesa unadhaniSihamasisi watu kutokusoma hata kidogo!!. Nimeuliza swali na kama ulikuwa huwezi kujibu ungepita kimya.
Fanya uchunguzi mdogo tu. Matajiri wengi wakubwa waliofanikiwa si wasomi wa daraja la juu bali wa kawaida. Wale ma genius wamefanikiwa kawaida.
Sio kweli, ni uvumi usio na uthibitisho wowote. Tena huu ujinga upo sana Afrika.Hivi kwa nini wale wasiojiweza sana darasani hufanikiwa ki maisha zaidi ya ma genius ?!.
Kwa sababu tunapenda sanauchawi na ushirikinaSio kweli, ni uvumi usio na uthibitisho wowote. Tena huu ujinga upo sana Afrika.
Mliofeli mnakuwa na misemo fulani hivi ya kujifariji na husahau mapema au hushindwa kutafakari pengine ndio huo uzito pia uliowafanya mfeli. Umeandika kana kwamba unamjua vema mtoa post kipato chake nk.Wanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!
unaijua hali yake ya sasa? Acha majigamboWanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!
Nani ana majigambo? Wewe unaijua hali yangu ya sasa?unaijua hali yake ya sasa? Acha majigambo