Hiki ndicho cheti changu cha form four

Hiki ndicho cheti changu cha form four

Kwa kuwa mafanikio ni kuthubutu ,basi ambae darasani ni zero , anatumia zirp yake katika maamuzi magumu . Msoni anaogopa kwani anajua uhai wa mtu una thamani kubwa . Kwa maneno mengine maisha ni vita , hata jeshini kupigana hasa sio wasomi .
Kweli maisha ni vita. Kwa mwenye uwezo wa kupambana na masomo huyo mwacheni apambane. Mwenye uwezo wa kupambana nje ya masomo nae aendelee kupambana. Pia kama kuna mwenye uwezo wa kupambana katika yote yaani kwenye masomo na nje ya masomo kwa kufanya biashara, kilimo n.k. nae mwacheni apambane kivyake. Kila mmoja apambane kwa kutumia silaha aliyonayo mkononi mwake bila kuchoka. Katika maisha kazi zipo nyingi na si rahisi watu wote tukafanya kazi zinazofanana na pia tukafanikiwa kimaisha kwa kiwango kinacholingana.
 
Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.

Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.

Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.

Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.

View attachment 958685
Mzee mimi niligonga D flati...ila nina gari sita zote namba DD....what a coincidence...
 
Wanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!
So watu wasisome?
Na wakisoma wasijitume sana ili kufaulu vizur?
Na ukifeli unafanikiwa kimaisha
 
Nachojua elimu ya Tz ni kuwakalilisha wanafunzi kujibu mitihani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom