Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,984
Tanzania yetu.mtu mwenye A ndio hua tunaona ana akili ila mleta mada ana A lakini angalia uzi alioleta
Hiyo unajipa matumaini tu ndugu
Ni kazi pia na binadamu wenzangu wanaifanya, lakini mimi Mungu kanijalia kazi nyingine tofauti na hiyosio ajabu anaokota chupa za maji kitaani, maisha ya makaratasi ni tofauti kabisa na maisha ya uhalisia
Kweli maisha ni vita. Kwa mwenye uwezo wa kupambana na masomo huyo mwacheni apambane. Mwenye uwezo wa kupambana nje ya masomo nae aendelee kupambana. Pia kama kuna mwenye uwezo wa kupambana katika yote yaani kwenye masomo na nje ya masomo kwa kufanya biashara, kilimo n.k. nae mwacheni apambane kivyake. Kila mmoja apambane kwa kutumia silaha aliyonayo mkononi mwake bila kuchoka. Katika maisha kazi zipo nyingi na si rahisi watu wote tukafanya kazi zinazofanana na pia tukafanikiwa kimaisha kwa kiwango kinacholingana.Kwa kuwa mafanikio ni kuthubutu ,basi ambae darasani ni zero , anatumia zirp yake katika maamuzi magumu . Msoni anaogopa kwani anajua uhai wa mtu una thamani kubwa . Kwa maneno mengine maisha ni vita , hata jeshini kupigana hasa sio wasomi .
Hakuna aliesema kwamba sio kazi, bt kwa ufaulu wako na hyo kazi sio haki.Ni kazi pia na binadamu wenzangu wanaifanya, lakini mimi Mungu kanijalia kazi nyingine tofauti na hiyo
Mzee mimi niligonga D flati...ila nina gari sita zote namba DD....what a coincidence...Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
So watu wasisome?Wanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!

Ndio mwenyeweNaona umebadili I'd padri mcharo na ma A yakooo
Hahaha mwenyewe za kuambiwa changanya na za kwakoNdio mwenyewe
Habari ndio hiyo Mjadala closed!Hiyo unajipa matumaini tu ndugu
Jitahidi Ufike B+ Mkuu!Maisha niko B,