Unasemaaaa!!!Wanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!
Mkuu kwa mfumo wa elimu ya kibongo kwa o level kupata 2 ya 21 au 3 ya 22 inatosha, advance unaweka zako 3 ya 13 afu chuo ndio unaweka first class believe me utaonekana wa maana kuliko waliopata mia mia kwanzia viduduMungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
HahahahahaUlijitahidi mkuu !!! Vipi maisha nayo umepiga A & B ?!![]()
Kweli mkuu aeleze university vipi atuelezUlikuwa vizuri,ila kwa elimu yetu,unaweza kuwa na As,lakini ni mwendo wa kukalili tu,na kuhamishia kwenye paper.
VP hizo As,zimelifrect kwenye maisha,harafu ndugu elimu ya form 4,ni ndogo sana,shahada uligonga VP?na upande wa cash money,una A au F?
elimu ya university ni ya kijinga sanaaa yaan mtu mmoja ndo judge unaweza kuta wale vilaza wa kudesa na vibomu ndo wanapata first class kali ila wale wanaojitegema wanapata pass na kweny ajira wale first clas hasa za kufundisha chuo ndo wanawachukua sijui kwanKweli mkuu aeleze university vipi atuelez
Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685
I'm so sorry, sikujua kama unatumia pia jina hili. I'm sorry. Nitaangalia kama wanaruhusu kubadili user namePapa Mobimba kwani ungesajili ID yako peke yako isiyoleta mkanganyiko ungepungukiwa nini?
Hahahaaaaa......acha kulisha sumu watuwale bata tuu mbona msukuma hajasoma ila anakula bata?
Maisha yana endeleaje huko Havard Univesty?Mungu ametujalia akili na utashi lakini juhudi ni muhimu ili kuweza kufanikiwa. Nilitia juhudi Mungu akanijalia hiki.
Nilikuwa sina uchaguzi wa masomo mimi, sijui mwana art ama mwanasayansi sikuwa na hizo mimi.
Mpaka nafika form four nilikuwa sijui cha A, B, C, D au form. Nilikuwa sijui kabisa. Mimi nilikuwa najua marks tu 90, 95 ,mia hizo ndio zilikuwa zangu.
Sasa wenzetu tukiwaambia msome, hamtaki mnashinda na vikaratasi tu mnabet. Endeleeni kubet, betini kwa bidii ili mshinde Jackpot.
View attachment 958685


Kata rufaaHongera mkuu.... Cheti chako kimefanana na changu Kila kitu, tofauti ni kwenye hizo herufi tu..... Changu nadhani walisahau wakajaza ma F kote.....![]()
sina ninachotabiri bali namaanisha sababu wewe na yeye hamjui mimi ni nani pia!umenena Mkuu,ila umeharibu mwisho
Huenda mwenye cheti humjui...huenda
ila kusema
una uhakika kuwa hawezi kufikia maisha yako labda kwa miaka hiyo tajwa,hili ni la hatari sana na lafaa kupigwa vita
Umejua ya jana na leo tu,sidhani kama kesho unajua
Kuwa makini na utabiri wako mbovu
Mmh mzee unamfahamu maisha yake?Wanaojenga maghorofa Kariakoo na wamiliki wa Fedha nyingi hawana cheti kama hicho. Mafanikio katika maisha na akili za darasani ni vitu viwili tofauti kabisa. mimi sina hicho cheti ila nina uhakika hali yangu kuifikia itakuchukua miaka 100!
Lakini hapo wamesema kweli mkuu, ujue wasomi wengi huishia kujenga nyumba tu na kukopa kusafiri ka mama na baba basi kwisha kabisa.Ni asilimia ndogo sana.
Hiyo huwa ni kujipa matumaini tu