Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
wenzako wako kwenye misheni,waliambiwaga wakabatize dunia nzima,ndo maana wanapenda kurubuni watoto kwa kuwapa mafundisho yao,Nakubaliana na ww kuwa taasisi za kikristo zina elim bora ,,, ila tatizo nikuwa mwislam akiwepo analazimishwa kuvua hijab na pia analazimishwa ajifunze mafundisho ya kikristo jambo linaloenda kinyume na uislam ,,, ndio maana wazanzibar hawapendi kuwaleta wanao bara ,,,,
kule israel walikwenda wamishenery kibao wakaanzisha na mashule wakawa wanafundisha imani yao kwa watoto,waisrael kuja kushituka wakapitisha sheria kali bungeni,ukipatikana pastor ama mchungaji unamhubiria mtoto wa kiyahudi na ama kumpa zawadi ya bibilia,unakula mvua 5 jela na faini kali ya shekel kibao
