jiwe la majiwe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 2,537
- 1,586
Acha matusiWavae tuu...kwan hakuna namna..kichwan hijab chin hakuna chup..
Acha matusiWavae tuu...kwan hakuna namna..kichwan hijab chin hakuna chup..
Mkristo wa kweli hageuki nyuma wala hayumbishwi,viongozi wengi wa madhehebu wanawanapenda pesa kuliko kukusimamia imani iliyowaokoa iliyoletwa na Yesu Kristo bila fedha.
Kwani imani ya kikristo ndo kutovaa vizuri?? Hapo cjaona hoja yako! Kwani akivaa the way dini yake inavomruhusu /inavyomtaka awe hivo we yakuhusu nn !! Mwache na dini yake we fata mambo yako,...Nimetamani sana kupata michango yenu kuhusu jambo hili
Shule za dini ni seminary za dini husika, nimekuwa nikijiuliza maswali mengi pale ninapoona double standard ktk kuvaa hijab kwa watoto wa kiislam ktk seminary za Ki-kristo.
Mtoto wa kikristo akijiunga kwenye shule inayomilikiwa na dini ya kiislam analazimishwa avae hijab lakini mtoto wa kiislam anapojiunga na seminary za kikristo pia analazimisha kuvaa hijab na iwapo sheria ya shule itamkataza serikali inaingilia kati kwamba hilo ni swala la imani. Je swala la imani linaegemea upande mmoja?
Haki itendeke kote
Kwakuwa mungu yupo msikitini tuHijab zivaliwe msikitini tu basi Hata kwenye public gathering zipigwe marufuku kabisa
Nakubaliana na ww kuwa taasisi za kikristo zina elim bora ,,, ila tatizo nikuwa mwislam akiwepo analazimishwa kuvua hijab na pia analazimishwa ajifunze mafundisho ya kikristo jambo linaloenda kinyume na uislam ,,, ndio maana wazanzibar hawapendi kuwaleta wanao bara ,,,,Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".
Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.
Kabisa.Zinaficha ugaidi.Hijab zivaliwe msikitini tu basi Hata kwenye public gathering zipigwe marufuku kabisa
Islam is the 'fastest growing religion'hivi wewe unaepeleka mtoto wako kusoma shule za kiislam umekosa cha kufanya si bora huyo mtoto umpeleke veta au umfungulie biashara ya duka... kuliko kumpeleka ST. MUDDY
Maana ya assalam alaykum ni AMANI YA MWENYEZI MUNGU IWE NAWE,. Hapo ni lugha tu ila ni salam nzuri sana ambayo haina ubaguzi kwa yyt,Hao jamaa ni wabinafsi haina mfano. Ni jambo la kawaida kuingia kwenye ofisi ya kiserikari na kusalimia 'salama aleykum' bila kujua huyo anayemsalimia ni dini gani. Lakini mkristu hawezi kuingia ofisi ya serikali akasalimia 'bwana yesu asifiwe'
Kwani mungu aliamrisha wanawake watembee vichwa wazi? Mwache avae tuSwala la kutaka watoto wa kikristo kuvaa hijab wanapojiunga na seminary za kiislam halafu watoto wa kiislam wanapojiunga na seminary za kikristo siyo sahihi kila mmoja anapokwenda kujiunga na mwengine aheshimu sheria alizozikuta la sivyo abaki kwake
TuthibitishieKabisa.Zinaficha ugaidi.
Kuna form unasign kuwa mtoto wako hatatengwa na wenzake, sasa wakiamka sala za asubuhi ni wote wanajumlishwa.Nakubaliana na ww kuwa taasisi za kikristo zina elim bora ,,, ila tatizo nikuwa mwislam akiwepo analazimishwa kuvua hijab na pia analazimishwa ajifunze mafundisho ya kikristo jambo linaloenda kinyume na uislam ,,, ndio maana wazanzibar hawapendi kuwaleta wanao bara ,,,,
Si kweliMaana ya assalam alaykum ni AMANI YA MWENYEZI MUNGU IWE NAWE,. Hapo ni lugha tu ila ni salam nzuri sana ambayo haina ubaguzi kwa yyt,
vivyo hivyo kwa mwanafunzi mwenye imani ya Kikristo anapojiunga na shule zenye mlengo wa dini ya Islamic ni lazima afuate sheria na taratibu alizozikuta huko..Nakubaliana na ww kuwa taasisi za kikristo zina elim bora ,,, ila tatizo nikuwa mwislam akiwepo analazimishwa kuvua hijab na pia analazimishwa ajifunze mafundisho ya kikristo jambo linaloenda kinyume na uislam ,,, ndio maana wazanzibar hawapendi kuwaleta wanao bara ,,,,