Hijab kwenye shule za kikristo

Hijab kwenye shule za kikristo

Wakijiunga na shule za kiislam wanalazimishwa kuvaa hijab maana Kwa waislam ni jambo lazima na akivaa kama ni mkristo haina shida maana imani yake haimkatazi. Jibu hilihili unaweza kulihamishia na kwenye muislam kulazimisha kuvaa hijab shule za kiislam
 
kuna nini wanakipunguza kwako wakivaa kwenye hizo shule? vitu vidogo kama hivi kuanza kuvichambua ni kuleta utengano na hakuna faida yoyote
Hivi mada kama hii ikiondolewa na Moderator mtoa mada naye atalalamika kuminywa kwa uhuru wake wa maoni?


What do you mean mambo madogomadogo kama ni mambo madogo mbona mmekuwa mkiyashupalia hadi wizarani? kama ni mambo madogo msiwalazimishe watoto wa kikristo kuvaa hijab kwenye shule zenu na kutaka shule za kikristo kuvunja sheria zake kwa kuwaruhusu watoto wa kiislam kuvaa hijab kwenye shule za Kikrsto
 
ki msingi ukristo ni dini ya kubumba tu, ni mawazo ya watu walikaa na kuitengeneza,hili ndo lilinipelekea nimeamua kusilimu juzi tu, how comes hata hao wazungu waliouleta kwetu Afrika wakatae kuufuata? tafadhalini ndugu zangu wa kikristo jaribuni sana kuisurvey dini yenu mtagundua ipo ki-dunia zaidi sio kumtafuta na kumjua Mungu
 
Mkuu kwel nakwambia mm ni mkiristo lakin nimegundua huku kwetu hakuna dini wala ukwel ni unbabaishaji tu.......hahaa ustuk why masister wanavaa hijab .....acha hzo kanisani watu wanashindana kuvaa nusu uchi kabisa kabisa .....stuka
 
Mkuu kwel nakwambia mm ni mkiristo lakin nimegundua huku kwetu hakuna dini wala ukwel ni unbabaishaji tu.......hahaa ustuk why masister wanavaa hijab .....acha hzo kanisani watu wanashindana kuvaa nusu uchi kabisa kabisa .....stuka
Wanachovaa masister ni hijabu?? Unajua kwa nn wanavaa vile? Kikubwa ni hivi siku ya mwisho hutaulizwa ulizwa ulivaa nini? Ulikula nini? Ulikunywa nini? Kwa nini hukutawadha ulipoingia msikitini? Kwa nn hukumkamua tumbo marehemu kabla ya kumzika hapana. Utahojiwa na kuhukumiwa kadri ya matendo yako!? Wangapi tunawaona wanavaa baibui na hijabu lakini tunapishana nao gesti? Usijidanganye matendo mema pekee Ndio yatakupeleka mbinguni sio dini au kuvaa
 
Kinacho matter ni Ada , hata uwe na rozari mpaka kwny Goti Kama huna fedha hawakupokei na ukiwa na Ada Yao hata hijab haina tatizo. Sema Shule za Wakristo sio Shule za Kikristo
 
Kinachonishangaza kwa Hawa wakristo viongoz wao wanavaa makanzu macsta nao wanajictr lkn wao mavaz ya ovyo kabsa ss waulizen viongoz wenu kwann hawaambii ukwel?mcwe mazuzu kupta kiac
 
What do you mean mambo madogomadogo kama ni mambo madogo mbona mmekuwa mkiyashupalia hadi wizarani? kama ni mambo madogo msiwalazimishe watoto wa kikristo kuvaa hijab kwenye shule zenu na kutaka shule za kikristo kuvunja sheria zake kwa kuwaruhusu watoto wa kiislam kuvaa hijab kwenye shule za Kikrsto
Nani kashupalia? kwa taarifa yako mimi sio muislam, na muislam avae hijab shuleni sijali kwa kuwa ni imani yake na hainipunguzii kitu
 
utaishia hivyo hivyo nakujikuta mmebaki waafrika tu kwenye upotofu, eti magaidi! mbona wameenea ulaya nzima na wanapokelewa! by the way wasalimie huko mpanda
Trump anawaandama mbaya! Ngoja aapishwe mtarudia ufahamu wenu
 
Kuna swahiba yangu mkuu yeye ni Mpemba aliniambia amesikia shule za Roman Catholic zina elimu bora hivyo anaomba nimsaidie watoto wake wawili wapate nafasi, basi tulipigania kumwambia baba paroko hawa ni watoto wa kaka yangu kabisa. Watoto walipewa mtihani na walifauli na kupata nafasi, kaka yangu alifurahi sana na zawadi tele nililetewa, shule ni boarding, baada ya miezi sita watoto wamerudi wanajua mpaka novena. Kaka aliniambia "dada sasa hawa wakimaliza shule si nitakuwa nimewapoteza kabisa".

Watoto hawakurudi tena shuleni kule, walitafutiwa shule nyingine. Jitihada zangu ziliishia hapo.

MKUU,

WEKA PICHA NA NAMBA YAKO YA SIMU KABISA ILI TULIMALIZE TATIZO.
 
Trump anawaandama mbaya! Ngoja aapishwe mtarudia ufahamu wenu
Trump ndo nan?
Masista si viongozi wetu..sio kila mkristo ni mkatoliki..hijabu haina uhusiano na kujistiri na kuwa kichwa waz hakumaanishi ndio hujajistiri..kujistiri ni kuvaa mavaz ya heshima na hujabu si lazima na haina umuhimu kwa sisi wakristo hata hao masista wenyewe km uko makini kuwaangalia utagundua hawavaag hijabu ila ni aina ya kilemba cz uvaaji wa hijabu ni tofauti kabisa na jinsi masista wavaavyo!

ki msingi ukristo ni dini ya kubumba tu, ni mawazo ya watu walikaa na kuitengeneza,hili ndo lilinipelekea nimeamua kusilimu juzi tu, how comes hata hao wazungu waliouleta kwetu Afrika wakatae kuufuata? tafadhalini ndugu zangu wa kikristo jaribuni sana kuisurvey dini yenu mtagundua ipo ki-dunia zaidi sio kumtafuta na kumjua Mungu
 
Masista si viongozi wetu..sio kila mkristo ni mkatoliki..hijabu haina uhusiano na kujistiri na kuwa kichwa waz hakumaanishi ndio hujajistiri..kujistiri ni kuvaa mavaz ya heshima na hujabu si lazima na haina umuhimu kwa sisi wakristo hata hao masista wenyewe km uko makini kuwaangalia utagundua hawavaag hijabu ila ni aina ya kilemba cz uvaaji wa hijabu ni tofauti kabisa na jinsi masista wavaavyo!
Tell them
 
Back
Top Bottom