simbamzeewamwakidila
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 1,447
- 379
Yawezekana?
kuna watu wameiona songea.. duh
MWAKA 1978 FEBRUARY; EAST AFRICA AIRWAYS WALIKUWA NA DEGE KUBWA LA MIZIGO LILILOITWA SIMBA.
RUBANI WAKE ALIKUWA CAPT.WILBERT URIO,KATIKA FANI HII KUNA VIMBWANGA KADHA WA KADHA KUNA KISA KIMOJA ANASIMULIA KWAMBA WAKATI WANAVUKA ATLANTIKI INSTRUMENTS ZOTE KWENYE COCKPIT ZILIGOMA KUFANYA KAZI BAADA YA MWANGA MKALI KUPITA MBELE YAO NA KUWAACHIA KIWI CHA MACHO.NDEGE ILIKOSA NGUVU NA KUANZA KUSHUKA CHINI MDOGOMDOGO MPAKA TUMBO LA NDEGE LIKAGUZA MAJI YA BAHARI WAKATI HUO WALIKWISHA KATA TAMAA NA KUANZA KUSALI LAKINI GHAFLA KWA NGUVU ZA AJABU NDEGE IKARUKA KWA MRUKO USIO WA KAWAIDA MPAKA KWENYE ATTITUDE WALIYOKUWA WANA I MAINTAIN NA GHAFLA INSTRUMENT ZOTE ZIKAANZA KUFANYA KAZI NA PIA KWENYE RADAR IKAANZA KUONEKANA,BAADA YA KUFIKA KWENYE DESTINATION ILIYOKUSUDIWA SALAMA NDEGE ILIFANYIWA UCHUNGUZI WA HALI YA JUU LAKINI HAKUNA DOSARI YEYOTE ILIYOONEKANA.
![]()
....pengine imepelekwa GAMBOSHI, ile ya BARIADI au ile ya BAGAMOYO.Leo ni siku ya nne, lakini hakuna alamu yoyote ya ndege ya Malaysia Airlines, haijulikani kama imedondoka au imezama baharini na kama ingezama mabaki yangeonekana au hata kama ingelipuliwa mabaki nayo yangebaki, sasa sijui imepotelea wapi! Kila nikifuatilia nakutana na still missing!
Huu ni unabii uliotabiliwa na T.B joshua mwaka jana na umetimia.tuombe mungu ipatikane na usalama wa abiria
Jamani mbona ndege imeonekana dar.tena inapiga ruti ubungo kwenda mbagala.na leo mchana nimetoka kupanda.
Kuna mtu kaniambia na watanzania walikuemo, sijui ni kweli?
Ipo thread ya huyo shetani wenu wa karne 21 nenda kachangie huko lkn unapotuletea hapa utabiri wa kulenga kuwaibia nyie utaifanta hii thread ichafuke sasaivHuu ni unabii uliotabiliwa na T.B joshua mwaka jana na umetimia.tuombe mungu ipatikane na usalama wa abiria
Mmh labda lakini kwa nationalities walizo display hakuna mtu wa tz!
This is rubbish about Joshua, utabiri gani usio na manufaa? Its meaningless kutabiri wkt hatoi means ya kuokoa
Ipo thread ya huyo shetani wenu wa karne 21 nenda kachangie huko lkn unapotuletea hapa utabiri wa kulenga kuwaibia nyie utaifanta hii thread ichafuke sasaiv
Duh! Hii ni kiboko, hii maana yake huenda ndege imeanguka nchi kavu na baadhi ya simu zilikuwa na zimebaki kuwa hewani japo wahusika watakuwa..... By the way mkuu Jerrymsigwa unafuatilia kwa karibu sana janga hili. Hongera sana.Mpk saa kadhaa zilizopita simu za familia 22 zimesaini kuwa wanapiga simu za wapendwa wao zaita bila kupokelewa, so huenda bado wapo salama kwenye eneo ambapo signals za cellphone zafika