Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Zungu LA unga
Nilikuwa napanda ndege ya kwenda Kampala JNIA. Laini ilikuwa ndefu kidogo, ghafla kaja Juma Pinto, akaongea na mwaamke fulani kwa dakika kama 5.
Juma alikuwa na mabegi mawili, kisha akaja kijana akachukua begi moja na kupita nalo bila kupitia kwenye mashine.
Juma akarudi nyuma, akaendelea na maongezi kwa muda huku akiwa na rollon bagg (carryon) na hatimaye kuingia ndani.
Swali langu, huyu Juma Pinto ni nani hadi kupitisha begi bila kusachiwa, tena na mtu mwenye baji ya TAA? tena kupitisha begi kwa staili ambayo sijawahi kuona, very swift. Who the hell is Juma Pinto?
ukimgusa huyo unagusa akina William Malecela, Masogange & Mtoto wa Mfalme
Niliwahi kusikia hata zile screening machines za JNIA zilinunuliwa na kufungwa hapo kwa hisani ya Juma Pinto! Wafanyakazi wote wa JNIA wanaohusika na ukaguzi wa mizigo wanajua hilo, na hakuna anayethubutu kukagua mzigo wake. Nchi imeuzwa!!!
Wakuu, Mwenye picha yake huyo Dogo Juma Pinto atuwekee hapa wengine hatumjui.
mhhh......
huku wengine tunavuliwa had viatu ***** walahi
Si Bora Wewe Unavuliwa Viatu Wengine Hadi Tunainamishwa Na Kukaguliwa Tena Kwa Kupigwa Tochi ktk Mabonde Yetu Ya Ufa a.k.a KINYELEO au KINYEO Eti Kwa Kisingizio Kuwa Huwa Tunaficha Bwimbwi Huko Na Mimi Huwa Wakiniambia Tu Niiname Wanikague Huwa Nawajambia Viporo Vyangu Nilivyokula Na Kwa Ile Harufu Wenyewe Huniacha Na Kuniruhusu.
Si Bora Wewe Unavuliwa Viatu Wengine Hadi Tunainamishwa Na Kukaguliwa Tena Kwa Kupigwa Tochi ktk Mabonde Yetu Ya Ufa a.k.a KINYELEO au KINYEO Eti Kwa Kisingizio Kuwa Huwa Tunaficha Bwimbwi Huko Na Mimi Huwa Wakiniambia Tu Niiname Wanikague Huwa Nawajambia Viporo Vyangu Nilivyokula Na Kwa Ile Harufu Wenyewe Huniacha Na Kuniruhusu.
aaah unachekehsa wewe huu upwagu wako balaa
Si Bora Wewe Unavuliwa Viatu Wengine Hadi Tunainamishwa Na Kukaguliwa Tena Kwa Kupigwa Tochi ktk Mabonde Yetu Ya Ufa a.k.a KINYELEO au KINYEO Eti Kwa Kisingizio Kuwa Huwa Tunaficha Bwimbwi Huko Na Mimi Huwa Wakiniambia Tu Niiname Wanikague Huwa Nawajambia Viporo Vyangu Nilivyokula Na Kwa Ile Harufu Wenyewe Huniacha Na Kuniruhusu.
Nilikuwa napanda ndege ya kwenda Kampala JNIA. Laini ilikuwa ndefu kidogo, ghafla kaja Juma Pinto, akaongea na mwaamke fulani kwa dakika kama 5.
Juma alikuwa na mabegi mawili, kisha akaja kijana akachukua begi moja na kupita nalo bila kupitia kwenye mashine.
Juma akarudi nyuma, akaendelea na maongezi kwa muda huku akiwa na rollon bagg (carryon) na hatimaye kuingia ndani.
Swali langu, huyu Juma Pinto ni nani hadi kupitisha begi bila kusachiwa, tena na mtu mwenye baji ya TAA? tena kupitisha begi kwa staili ambayo sijawahi kuona, very swift. Who the hell is Juma Pinto?