FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Kabisa mkuu.. Na unakuta jamaa alivyogeuka alafu hakuoni alihuzunika sana..Hii style naipendaga sana pia, unafata nyuma tu. Niliwahi fata Land Cruiser VX flani toka HiMo jamaa alikuwa relaxed ni 80-120 sema nilipofika Mombo nikaingia hotelini tukapotezana.