Dhahabu inapatikana mkuu maana sherui + misigiri ni maeneo ya wachimbajiNdio ukute uko kwenye uwanja mpana sasa na njia unaijua vizuri.
Kuna siku nilikuwa natoka Shelui kuelekea Misigiri, kuna mshenzi aliniovertake nikiwa kwenye 190km/h.
Alienda kuua Ng'ombe kadhaa, mita chache kabla ya kuanza kushuka Senkeke, speed kali mida ya jioni ya saa kumi na saa kumi na moja, ni hatari sana kwasababu ya mifugo.
Ligi za barabarani ni tamu sana.
Naikubali sana BMW
Hicho chombo unakijua lkn mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23] huwezi kwenda mbali kamanda.
ilikuwa siku za nyuma sio siku hizi.Mkuu tungis agusi kwa ndege ya ardhini kisbo
ally's anabebwa kwa ubora wa huduma na kuwa na bus safi ila sio speed.No Tungis hapana ila kuna Ally's
Huyo jamaa alijichanganya ndio maana hawezi kujibu hiiIT Mwanza inakuwa inaelekea nchi gani
Naifahamu barabara yote from Dar to Mtwara Nangurukuru, Kilanjelanje hadi Hoteli TatuUshaenda Mtwara?
Unamkosi Sana mkuuNiliwahi kosa kosa ajali ikabidi nipige kingo za chuma kwenye daraja sababu kubwa ni hizo ligi.
Brevis ilokuwa mbele yangu ikachomoa nikachomoa kumfata tanker likatuletea ikabidi nikapige daraja na ndio ilikuwa pona yangu. Tokea siku hiyo sikimbizani na mtu.
Siku ya kurudi nikakutana na Semi ikanipiga fog mara 3 kidogo nizame kwenye mikonge
Hio BMW unayoitumia ni zile e46 318i?Ligi tamu kuanzia saa 10 jioni kutafuta kale kagiza cha saa 1 kasoro baba unakutana na V8 flani STK dereva anayejitambua, ligi inakuwa tamu sana. Yeye anaamini v8 inachanja mbuga na 220 yake mnyama BMW unasoma 240 halafu boss wake amelala hahahaha au na yeye anapenda ligi dereva anamwambia kuna mshezi anakuja kasi hapo nyuma unaona boss anachungulia kwenye mirror unaona v8 inaanza kuchanganya 180- 190 anachezea hapo kijana namuashia indicator napita anapagawa.
Mara mbele mteremko sipiti asije akasema nimetumia advantage ya mteremko nasubiria muinuko tunavyoanza kukamata tambarare basi napita.
Mjerumani nyoko sana BMW forever
Mzee huyo Sauli ni Scania hiyo, wacha asumbue tu...licha ya changamoto za barabarani, kwa upande wa ligi za mabasi ya abiria nasikia kwa sasa anayesumbua route ya dar - mwanza ni tungis express na anayesumbua route ya dar - mbeya ni sauli express. imefika kipindi mpaka watu wanabet kuhusu haya mabasi.
View attachment 1222485View attachment 1222488
Mimi 2017 sitaisahau natoka Gairo - Dar kufika Moro ukiwa unaiacha morogoro mjini kuna njia imenyooka sana aisee nikaanza ligi lori mimi na IST mimi mdogo wangu, shemeji yangu na bi mkubwa aisee lori la mafuta BIL aisee niliiga kulifata nyuma aisee jamaa aliwahi kurudi kulia baada ya ku overtake aisee ile siku sitaisahau jamaa aliekua anakuja kwa mbele yangu na fuso hakupunguza mwendo lori nalo liovertake halikupunguza mwendo unakanyaga accelerator hadi chini gari ipo pale pale sijui ilikuaje lakini niliwahi kurudi kushoto nikalichomekea hilo lori nililokua nalipita baada ya jambo lile ilibidi nipaki pembeni nikojoe niliapa sitaanzisha ligi tena...barabarani wala kumfata mtu nyuma akihama na wewe unahama ni hatari sanaNiliwahi kosa kosa ajali ikabidi nipige kingo za chuma kwenye daraja sababu kubwa ni hizo ligi.
Brevis ilokuwa mbele yangu ikachomoa nikachomoa kumfata tanker likatuletea ikabidi nikapige daraja na ndio ilikuwa pona yangu. Tokea siku hiyo sikimbizani na mtu.
Siku ya kurudi nikakutana na Semi ikanipiga fog mara 3 kidogo nizame kwenye mikonge
Kwaio ulitaka awe na M3 au M5 mkuu?Kuna mtu anaponda ponda wajapan afu ukute ndo ana hizi 320i,325i,330i au 5series za model hizo atashangazwa.
itakuwa inatoka kwake nadhaniRandrover inatoka taifa gani mkuu?