Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

kuna siku nipo speed 140kph naovertake hiace, chuma ikakatika kutoka kwenye hicho kihiace na kupasua kioo changu cha mbele
sina hamu na speed kabisa

Hahah.. umenikumbusha siku nimedandia gari ya gazeti saa sita usiku, jamaa yuko mafuta anataka kumaliza kibati bonet likafunguka... weeeeeh..
 
Gari yangu ya kwanza kabisa ya kichovu toyota caldina, hapo natoka Moshi kuja dar na sina uzoefu sana na route za mbali, jamaa wa vits naye akaamua eti kunianzishia ligi, mimi niko 110 kph ananipita speed then mbele anaenda anapaki, nikipita tu huyu tena. Ama kweli ukiwa mchovu hata wachovu watataka ligi na wewe. Sasa hivi hata BMW akileta ligi na mimi ajipange kweli kweli, japo sita sahau kamwe dharau nilizoonyeshwa na vits kipindi nina gari la kichovu

Wewe ndo uliamua kuzingua.. hahahaaa
Kama ni caldina sport sio gari ya kichovu aisee
 
Back
Top Bottom