Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Nimecheka sana kunavideo ilisambaa ya hapa hapa bongo jamaa ana crown athlete alipigwa na golf akiwa 180 af wanaongea jamaa anasema daaaah kunawanaume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Alipitwa
Inamaana alikuwa mbele
Basi inamaana crown ilikichafua zaid ila ilipofika speed iliolimitiwa haikwenda juu zaid
 
Crown athlete kuna namna ya kuichezea inakimbia kama gari yenye speed 240

Kuichezea inawezekana sema ni risky na unaweza ua injin ka fund si makini

Crown ina v6 na ni stable na inaweza kwenda speed zaidi ikiwa stable, sema ndo hvyo sheria za japan
 
Kama unataka ligi unapotoka DAR jaribu kufanya ligi na gari za magazeti ndio utajipima uwezo hao wote uliofuatana nao waoga.
Dah dah gari za gazeti ni maseke jamaa yangu alifariki akikuwa anaendesha hiace ya gazeti nishasafiri nae sana dar moro.lisaa limoja na nusu sikuamini na sitakaa nipande tena nikipandia pale Rombo dar msamvu baada ya lisaa na nusu sitakaaa tena nipande zile gari
 
From Singida to Dar, nilikuwa siendeshi mimi.
nilivyofika Dodoma, nikapokea usukan ndani ya Aud A6 3.2...this sedan car was fantastic tuliziacha V8 na Nissan patrol kadhaa. Ligi ya Dodoma to Dar ni za kuotea otea...

Yawezekana mnaziacha zikiwa hazina ata habari na kukimbizana na ww
Sometimes watu mnapenda ligi za kijinga na mtu akiendesha kistaarab mnakuwa mnafikiria anafanya ligi na nyie kumbe walaah

Kuna siku natoka zangu goms usikuusiku narudi hom nashangaa mtu anapita kwa speed kali na Nissan Safari yake
Mara kila akipita anaonesha mikwara ya kijinga sana na kupita na kuniangalia na miungurumo mikubwa, ilikuwa usiku wa kama saa6 au saa7 ambako folen hamna kivile
Mi nikawa namuona kama mpumbavu vile maana kila nikiifumua gari naona namuacha, nilimuacha mbali ila nilipofika tazara nae akafika na miharakaharaka yake ya kuingilia mbele af ananipigia mihon tukiwa tunasepa, yule jamaa aliniogopesha sana maana mi usiku sipendag kukimbiza sana hasahasa Dar ambapo watu ni wengi, nakumbuka kile kipande cha bugurun mataa nilimpita vibaya sana kuangalia speed inapanda kwa kasi ni imefika kwenye 150 na zaid
Nikaona niache ligi za kijinga kwanza najimalizia mafuta mana hayakuwa meng na ckutak kujaza

Sometyms ligi inaweza kuwa kichwan mwako tu ila si kwa mtu unaefanya nae
Otherwise akupe ishara
 
Usiku si salama kuenda zaidi ya speed 100km/hr kutokana na uwezo wako wa kuona au labda kama unawasha full light kama unawinda napo pia si salama kwa mwenzako anaekuja

Hapa labda uwe na mfano wa gari, rakini ukiwa na gari kweli unatembe mpaka 200, na mtu asipo punguza mwanga unampa full light.

Usiku siyo utupie one two for the road ndio ushike mkokoo, inapendeza uwe timamu na busara zako
 
Sitaki kuamni hii juzi tu nilifanya LIGI na TAKO LA NYANI mimi nikiwa na Toyota ist usiku mida ya saa 7 huwezi amini nilikanyagaafuta mpaka mwisho !!nikajikuta nauacha nyuma !pombe ilivyo kata nilijuta sana maana nilikuwa na tembea na mtoa Roho mfukoni sito rudia tena mchezo wa kijinga
 
Changamoto ni kama hii...
IMG20191026211121.jpeg
 
Back
Top Bottom