wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Ligi zinachangamsha sana safari..🤣🤣🤣 na kama mafuta sio ya mawazo ndio dah. Unapasuka tu.
Ukiwa na Wrx sti mpk unaweza kupizi kwa utamu wa ligi za barabarani.
Ligi zinachangamsha sana safari..🤣🤣🤣 na kama mafuta sio ya mawazo ndio dah. Unapasuka tu.
Nadhani kupiga ligi barabarani mchana ni ngumu sana.
Police kila mahali.
Shetani anapoona mnakimbizana kibwege anatabasamu akiwa na glass lake la mvinyo wa damu ambao aliupata katika ajali iliyopita
Ambulance nyingi si ni land cruiser hardtop zenye engine za 1hz?...
Hizi gari zina engine kubwa ila speed hamna kabisa.
Gari yangu ya kwanza kabisa ya kichovu toyota caldina, hapo natoka Moshi kuja dar na sina uzoefu sana na route za mbali, jamaa wa vits naye akaamua eti kunianzishia ligi, mimi niko 110 kph ananipita speed then mbele anaenda anapaki, nikipita tu huyu tena. Ama kweli ukiwa mchovu hata wachovu watataka ligi na wewe. Sasa hivi hata BMW akileta ligi na mimi ajipange kweli kweli, japo sita sahau kamwe dharau nilizoonyeshwa na vits kipindi nina gari la kichovu
Hahaha ile turbo charger inatia wazimu sanaUkiwa na Wrx sti mpk unaweza kupizi kwa utamu wa ligi za barabarani.
licha ya changamoto za barabarani, kwa upande wa ligi za mabasi ya abiria nasikia kwa sasa anayesumbua route ya dar - mwanza ni tungis express na anayesumbua route ya dar - mbeya ni sauli express. imefika kipindi mpaka watu wanabet kuhusu haya mabasi.
View attachment 1222485View attachment 1222488
Ligi za Moshi - Arusha - Mto wa Mmbu tuachie hizo ligi mkuu nina kitu cha BMW hakijawahi kuniangusha, wajapan wanapata tabu sana. Wengine wanahisigi wanafukuzwa na majambazi.
Gari za kijapan naziitaga Prey namfukuza hapo nyuma huku naangalia dash board nitamani nikiona yupo 170 mbishi 180 basi hapo gear box naitupia kwenye sport mode kitu kinashtuka, nawasha indicator ya kuovertake napita kwa kasi ya ajabu naitafuta 200 nahakikisha mpumbavu haoni taa za breki.
Naenda mbele napark namsubiri apite tena . Wengine wakiona nimesimama hahahaha wanaogopa wanapark pembeni wanasikilizia.
Wabongo waoga sana
3S-GTE mziki mnene huo...Hata hio Caldina uliyokua nayo hukuamua tu kumnyoosha huyo wa Vitz,ungepata caldina yenye 3s-Gte nyang’au wasingekusogelea kizembe.
Ligi za IT hatari sana, gari mpya na jamaa anataka asubuhi yupo mwanza ni balaa
Ligi tamu kuanzia saa 10 jioni kutafuta kale kagiza cha saa 1 kasoro baba unakutana na V8 flani STK dereva anayejitambua, ligi inakuwa tamu sana. Yeye anaamini v8 inachanja mbuga na 220 yake mnyama BMW unasoma 240 halafu boss wake amelala hahahaha au na yeye anapenda ligi dereva anamwambia kuna mshezi anakuja kasi hapo nyuma unaona boss anachungulia kwenye mirror unaona v8 inaanza kuchanganya 180- 190 anachezea hapo kijana namuashia indicator napita anapagawa.
Mara mbele mteremko sipiti asije akasema nimetumia advantage ya mteremko nasubiria muinuko tunavyoanza kukamata tambarare basi napita.
Mjerumani nyoko sana BMW forever
Ligi za IT hatari sana, gari mpya na jamaa anataka asubuhi yupo mwanza ni balaa
3S-GTE mziki mnene huo...
Hahaha ile turbo charger inatia wazimu sana
IT hawafai ndiyo maana wanakula mbanga sana. Juzi kuna polisi walikuwa na Nissan xtrail wanafukuza Honda IT, polisi walitembezwa mwendo mbaya sana na hawakuona hata taa za nyuma za IT zinawakia wapi. Badae wakarudi eti wanakagua maeneo huenda yule mwamba kajificha.. natamani polisi wapewe powerful cars
Ile neo bus inaendeshwa kistaarabu, kuna yule kichaa wa gemilang DPN hopeless kabisaAsaaaa ukutee ile sauli Benz ni hatari sana
Usiku sio salama kwa ligi.
Si rahisi kuona zaidi ya 200M, ukiwa speed zaidi ya 100kph, ni ngumu kukwepa hatari ya ghafla.
Usishindane na watu wa magazeti, hao wanapita hiyo njia kila siku tena usiku. Wanaifahamu vizuri sana.
Na usiku kuna ajali nyingi sana za uzembe na kutokosa umakini.
Kuwa makini, usishindane na usiemjua.
[emoji3][emoji3][emoji3] ligi inapendwa na wengi...Gari yangu ya kwanza kabisa ya kichovu toyota caldina, hapo natoka Moshi kuja dar na sina uzoefu sana na route za mbali, jamaa wa vits naye akaamua eti kunianzishia ligi, mimi niko 110 kph ananipita speed then mbele anaenda anapaki, nikipita tu huyu tena. Ama kweli ukiwa mchovu hata wachovu watataka ligi na wewe. Sasa hivi hata BMW akileta ligi na mimi ajipange kweli kweli, japo sita sahau kamwe dharau nilizoonyeshwa na vits kipindi nina gari la kichovu