Hahah mzee baba una kumbukumbu balaa, kuna uzi mwingine huyu mchizi alisema Dar-Mwz anatumiaga masaa 7 tu hahah.Sio wewe nimekuona kwenye uzi fulani hivi unasema Dar -Arusha unatumia 4:30 hrs na kwamba unatembea 130-150Kph usiku?
Nyingi waga hazifiki hizo speed, hizo speed waga ni kiashiria tu, ni kama vits dashboard yake ina 180kmph wakat top speed yake ni 140kmph
Ulioendesha ilichoka labda au haikuwa na turbo
View attachment 1226587
Gari za kijerumani ni kuwa hazina high speed limiter
Ila subaru nyingi zinazipiga chini kuwa faster, kuna watu wanaweza toa speed limit gar inakuwa noma zaid
Ndo maana ata V8 nyingi unakuta ina 180kmph akat ina uwezo wa kwenda 280kmph
Kama anaendesha gari za gazeti inawezekana.Hahah mzee baba una kumbukumbu balaa, kuna uzi mwingine huyu mchizi alisema Dar-Mwz anatumiaga masaa 7 tu hahah.
Dar to Mwz ni km 1175 maana yake on average alikua anatembea 170km/h,Tz hii hii na barabara zake hahah.
Unamaanisha kufanya tuning au?
Kuna STI ambayo haina turbo?
Sio wewe nimekuona kwenye uzi fulani hivi unasema Dar -Arusha unatumia 4:30 hrs na kwamba unatembea 130-150Kph usiku?
Hii sentensi ulielewa nini.
kuna uwezekano ukaogopa kwenda nako ligi kisa umeona dashboard yake
Kama anaendesha gari za gazeti inawezekana.
Mimi nina jamaa alikuwa akiendesha gari kutoka Dar kwenda Mbeya kwa masaa 7:30 mpk 8.
Kuna STI ambayo haina turbo?
Watery unajua STI ni nini? Unatakiwa ujue sio kila Subaru ni STI halafu uje ujibu swali la wa kupulizaYeah, zipo nyingi tu, zilizo na turbo ni zilizotoboka kwenye bonet ya mbele
Odometer [emoji777]Unamaanisha odometer ina 180kph ila inaweza kwenda 280kph?
Hows that possible??
Wewe umekariri.Odometer [emoji777]
speedometer [emoji818]
Odometer ni kipimo tu cha speed, ila haimaanish ndo top speed, magar mengi ya japan yanakimbia sana kuliko ya germany ila mengi yana kuwa limited kutokana na sheria za japan
Hii gari ina speed mpaka 220 lakini mimi na Gx110 cc1980 6cylinder nilimuacha mbali sana,sijui shida ilikuwa ni dereva au ndo hazina mwendoKweli kabisa, sasa ni kute njiani na Kilitime yangu speed 220, halafu nipo mwenyewe ndio utajua ile ni vvti 2.0 or not.
Masaa 10 kwa gari ya gazeti utakuwa umeleta hasara maana wanatakiwa saa 12 wawe Mbeya. Dar huwa wanatoka saa 2,3 au saa 4.Mnasahau kuna mlima. Kuna barabara mbovu kutoka makambako.
Kuna Mikumi.
Dar Mbeya ni 800km hivyo ni ngumu kutumia 7 hadi 8hrs
Masaa 10 inawezekana
Kama anaendesha gari za gazeti inawezekana.
Mimi nina jamaa alikuwa akiendesha gari kutoka Dar kwenda Mbeya kwa masaa 7:30 mpk 8.