Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Hii Tabia ya Kupenda ligi barabarani

Aisee mzee baba unajua 250mph si mchezo?Au ulimaanisha 250km/h?

Gt-r yenyewe ni 315 km/h (196 mph)

Yeah, nilimaanisha 250mph(400kmph)
Insue ni ina hp kama ya bugatti chiron ila top speed ndogo
 
mkuu subaru ya aina gani hiyo? speed 100 tu? Juzi nimekuja na Escudo tu,ikiwa speed 100km/hr nachat kabisa.

[emoji1][emoji1] barabara za mjini huku tena hiyo 100 ni ya sekunde kadhaa tayari unarudi 20-60 na nadhani unajua subaru inavyo changanya 100 ndani ya sekunde kadhaa tayari
 
Mbeya wamebadilika siku hizi walikua wanadandia mafuso tu mwanzo mwisho.
[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana.
Kuna jamaa alikuwa anafanya kazi kwetu kipindi hicho miaka ya 2000.
Alikuwa mhehe, akitaka kwenda kwao tu, tunaenda pale Ubungo-Rombo anasubiria mafuso ya mizigo yanayobeba abiria. Anaenda nayo hadi Iringa
 
Nawaza saana juzi niko na subaru nilifika 100 nikaona inavyo chomoka nikawaza sasa 160 ni kifo kabisaaaa manake hata kona hutaiona ..

Inategea subaru gan na barabara gan na kama ni nje ya mji au mjin
Mi nina legacy na 100 ni kawaida tu speed za apa mjin
Au we unaogopa speed mzee
 
Inategea subaru gan na barabara gan na kama ni nje ya mji au mjin
Mi nina legacy na 100 ni kawaida tu speed za apa mjin
Au we unaogopa speed mzee
Atakuwa muoga kwa kweli...
 
Back
Top Bottom