Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

Battle: Subaru forester SH5 turbocharged Vs mark X

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
14,203
Reaction score
45,640
Hii video imekuwa gumzo na kila MTU ameongea lake Kwa utaalamu wake juu ya magari.
Toyota mark X engine ya 4GR six cylinders imeshindwa kuipita Subaru forester XT engine EJ20. Mwenye mark X yupo kwenye speed 180 na mshale umekopa kabisaa huku RPM ikiwa kwenye 5000p/m .

Wale wataalamu wa magari watupe elimu kidogo hapa kwanini mark X ameshindwa kupindua meza Kwa forester.
Kilasiku huwa nawahusia vijana wa Subaru forester non turbo waachane kabisaa na ligi za barabarani kwasababu magari Yao hayana uwezo
 
Hii video imekuwa gumzo na kila MTU ameongea lake Kwa utaalamu wake juu ya magari.
Toyota mark X engine ya 4GR six cylinders imeshindwa kuipita Subaru forester XT engine EJ20. Mwenye mark X yupo kwenye speed 180 na mshale umekopa kabisaa huku RPM ikiwa kwenye 5000p/m .

Wale wataalamu wa magari watupe elimu kidogo hapa kwanini mark X ameshindwa kupindua meza Kwa forester.
Kilasiku huwa nawahusia vijana wa Subaru forester non turbo waachane kabisaa na ligi za barabarani kwasababu magari Yao hayana uwezo View attachment 3573632
Sasa kama gari zote zina top speed 180kph mmoja akiwa mbele na 180kph huyu wa nyuma atapita vipi na barabara ni straighline?Labda ingekuwa kwenye race track ndio ungeona ufundi wa dereva au gari yenye take off nzuri.
 
4gr haiwez ku battle na SH5 TURBO KWASABABU YA HORSE POWER , YA 4gr inaishia 215, wakat ej20 turbo inafika 256 nadhan, hapo huyo angekutana na 2gr au 3 gr ndo ingekua unyama
 
4gr haiwez ku battle na SH5 TURBO KWASABABU YA HORSE POWER , YA 4gr inaishia 215, wakat ej20 turbo inafika 256 nadhan, hapo huyo angekutana na 2gr au 3 gr ndo ingekua unyama
2GR ni balaa Sana hiyo engine... Toyota hapa walituliza Sana akili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom