Hii sasa ni pupa, ni papara

Hii sasa ni pupa, ni papara

Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.

Ni jambo jema tu.

Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.

Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.

Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.

Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!

Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.

Hii serikali imechemka kabisa hapa!

No two ways about it.
Macho yetu sie
 
Kuna watu niliwaambia kuwa shirika la ndege TZ halina uwezo wa kuendesha hiyo Dreamliner kwa sasa. Watakula loss kila siku. Niliishia kutukanwa na kuitwa msaliti nisiependa maendeleo.

Ni bora tungenunua hata vijet viwili vitatu tukamake kwanza faida kuliko kununua mdege mkubwa unaupaisha kwa gharama alafu abiria ni wachache.

Hatujajenga credibility kwenye aviation sector hatuwezi kupata wateja kirahisi ilibidi tujijengee kwanza ili na sisi tuweze kupata soko kimataifa sio kuingia tu sokoni kisa wenzio wamo.

Hii ndege tukifika 2020 ikiwa ina operate bado nahama nchi.
Watu wa serikali wanataka shobo, faida na biashara ni geresha tu.
 
Ni wachache sana wenye uwezo wa kunielewa humu!
Ha ha haa...when we are born, we are all ignorant but it takes such great effort to remain stupid! This way a moron is easily convinced that staying stupid is an achievement and is proud of it. Hence he lives the rest of his life wondering why there are people who don't understand him...!
 
Nashauri hii ndege ikodishwe italipa zaidi kuliko hivi sasa hakuna shuhuli za kiuchumi zitakazo lipa. Shuhuli za kiuchumi ndio zinazoleta ndege na sio ndege inayoleta shuhuli za kiuchumi.
 
Mleta mada leta utafiti vizuri,Angalia mwenendowa ATC Kwa Sasa ,Precision ,coast ,Fast jet nk.Ujue idadi ya abiria,Root zao nk Ndio utuambie kuna umuhimu au la
 
Polepole aweka historia. Awa abiria wa kwanza Tanzania kupiga picha na bendera ya chama ndani ya dream liner
#MatokeoChanyaKilaMahali
 
Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.

Ni jambo jema tu.

Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.

Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.

Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.

Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!

Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.

Hii serikali imechemka kabisa hapa!

No two ways about it.
Wiki 2 zilizopita ulikuwa huelewi!
 
..kwa zaidi ya mwaka walikuwa wanajua kuwa ndege ya masafa marefu inakuja nchini.
..sasa kilichowazuia kufanya maandalizi ya ndege kufanya safari za masafa marefu ni nini?
..ccm wako very efficient kwenye kufanya fitina na majungu ya kisiasa, lakini ikija shughuli za maendeleo ni sifuri kabisa.
Cc Richard, Pascal Mayalla
Maadam mwali tayari yumo ndani ya nyumba, na kitanda kimeisha tandikwa shuka nyeupe, kilichobakia ni kumuingiza tuu mwali chumbani na kuendelea na kinachoendelea.

Juhudi zetu sasa tuzielekeze katika kuhakisha ndege yetu inajaza hao abiria 520 daily wa kwenda Mwanza, na kurudi Dar ili ndege isiende tupu tukapata hasara.

P.
 
Last edited:
Hii ngoma mtaiweka parking very soon,
nimemuona Polepole anazunguka kwenye ndege na mabendera ya CCM nimetamani nimtie makofi.
 
Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.

Ni jambo jema tu.

Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.

Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.

Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.

Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!

Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.

Hii serikali imechemka kabisa hapa!

No two ways about it.
Sio mbaya,tuna mpango wa route ya Johanasibag,mda so mrefu,vuta subira
 
Definitely not me.
Obviously you are just one occasional flier while there many frequent fliers out there! These will definitely fly ATCL from great cities' international airports to Dar es Salaam.
 
Mkuu kati ya ATCL na wewe nani mwenye papara? Wao walishatoa mipango yao. Hii ya safari fupi in kukuonjesha wewe asali ya anga muda si mrefu wanaanza kiruka - Kampala na Burundi na India. Usiwe na papara mkuu. Uwe unauliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom