Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,168
Hivi limeshaanza safari zake? Nataka na mm nikalitie nuksi.
![]()
![]()
Nimecheka sana Mkuu , 😛😛😛😛
Hivi limeshaanza safari zake? Nataka na mm nikalitie nuksi.
![]()
![]()
Kwa hiyo na wewe unamwita aliyelinunua ni Mwendawazimu??Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.
Ni jambo jema tu.
Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.
Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.
Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.
Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!
Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.
Hii serikali imechemka kabisa hapa!
No two ways about it.
Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.
Ni jambo jema tu.
Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.
Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.
Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.
Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!
Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.
Hii serikali imechemka kabisa hapa!
No two ways about it.
Mkuu wee ni mpinga maendeleo, mimi ni.mpinzani wa kisiasa ila weww umevuka mipaka, unasema halifiki 2020 likioperate?? Unalilaani??Kuna watu niliwaambia kuwa shirika la ndege TZ halina uwezo wa kuendesha hiyo Dreamliner kwa sasa. Watakula loss kila siku. Niliishia kutukanwa na kuitwa msaliti nisiependa maendeleo.
Ni bora tungenunua hata vijet viwili vitatu tukamake kwanza faida kuliko kununua mdege mkubwa unaupaisha kwa gharama alafu abiria ni wachache.
Hatujajenga credibility kwenye aviation sector hatuwezi kupata wateja kirahisi ilibidi tujijengee kwanza ili na sisi tuweze kupata soko kimataifa sio kuingia tu sokoni kisa wenzio wamo.
Hii ndege tukifika 2020 ikiwa ina operate bado nahama nchi.
Mkuu wee ni mpinga maendeleo, mimi ni.mpinzani wa kisiasa ila weww umevuka mipaka, unasema halifiki 2020 likioperate?? Unalilaani??
Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.
Ni jambo jema tu.
Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.
Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.
Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.
Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!
Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.
Hii serikali imechemka kabisa hapa!
No two ways about it.
mnaomshangaa ni nyie makamanda, tulio nyutro tunampata barabara.Hivi hushangai kila mtu anakushangaa? Wenye pembe tushajua zako za kubandika mlanyama
Ahaaaaaaa Paschal.Leo ngoja nipumzishe kichwa kwanza.Hata hivyo lamba mzinga wa like.Maadam mwali tayari yumo ndani ya nyumba, kilichobakia ni kumuingiza tuu chumbani na kuendelea na kinachoendelea.
Juhudi zetu sasa tuzielekeze katika kuhakisha ndege yetu inajaza hao abiria 520 daily wa kwenda Mwanza, na kurudi Dar ili ndege isiende tupu.
P.
Watapanda kila siku. Hawatoi nauli.Na wanaopanda ni wale wale na wanashuka na vijibendera mkononi utafikili watapanda kila siku!!!!
ni jiweUnaemlenga hasikii
Kuna watu niliwaambia kuwa shirika la ndege TZ halina uwezo wa kuendesha hiyo Dreamliner kwa sasa. Watakula loss kila siku. Niliishia kutukanwa na kuitwa msaliti nisiependa maendeleo.
Ni bora tungenunua hata vijet viwili vitatu tukamake kwanza faida kuliko kununua mdege mkubwa unaupaisha kwa gharama alafu abiria ni wachache.
Hatujajenga credibility kwenye aviation sector hatuwezi kupata wateja kirahisi ilibidi tujijengee kwanza ili na sisi tuweze kupata soko kimataifa sio kuingia tu sokoni kisa wenzio wamo.
Hii ndege tukifika 2020 ikiwa ina operate bado nahama nchi.
Tatizo liko hapa.nyani ngabu huwa mnachelewa kung'amua mambo..wakati wenzenu wanafikiria ya kesho kabla ya kufika nyinyi ccm huwa mnafikiria baada ya kuifikia.wakati mnaelezwa hiyo itasababisha hasra hamkuwaelewa watu mkasema wanapinga maendeleo mkalazimisha kunua mmenunua mmeona matumizi yake.hayakidhi sasa mnaanza kujirudi..kwanini hamkufikiri kabla ya kununua? Hamjaangalia uhitaji wenu kwa sasa n kipi badala yake mnakurupuka kufanya baada ya kufanya mnajikuta hayo hayakuwa mahitaji yenu sasa nendeni mkavundike liive..hizo bomba dear zenyewe zinatutia hasara sema hakuna wa kusema maana akisema tu wasiojulikana wanajitokza..Mungu atusaidie tuwe walipa.kodi wazuri tu vingnevyo matumizi yetu hayaleti tija kwa taifa..sasa ni zamu yenu kuona kile.ambacho.wenzenu walikiona hata kabla hamjanunua kitu ambacho mtakua mmechelewaKwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.
Ni jambo jema tu.
Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.
Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.
Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.
Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!
Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.
Hii serikali imechemka kabisa hapa!
No two ways about it.
Hili dege linajaaaaa balaaa, nimesafiri nalo tr. 8 lounge ilikuwa imejaaa mpaka viti vikaisha, walipotangaza tu air tanzania to mwanza watu wakaisha airport ikawa nyeupe. Kuingia ndani full levelseat, kama zilibaki basi ni seat kama kumi tuKuna watu niliwaambia kuwa shirika la ndege TZ halina uwezo wa kuendesha hiyo Dreamliner kwa sasa. Watakula loss kila siku. Niliishia kutukanwa na kuitwa msaliti nisiependa maendeleo.
Ni bora tungenunua hata vijet viwili vitatu tukamake kwanza faida kuliko kununua mdege mkubwa unaupaisha kwa gharama alafu abiria ni wachache.
Hatujajenga credibility kwenye aviation sector hatuwezi kupata wateja kirahisi ilibidi tujijengee kwanza ili na sisi tuweze kupata soko kimataifa sio kuingia tu sokoni kisa wenzio wamo.
Hii ndege tukifika 2020 ikiwa ina operate bado nahama nchi.
Hili dege linajaaaaa balaaa, nimesafiri nalo tr. 8 lounge ilikuwa imejaaa mpaka viti vikaisha, walipotangaza tu air tanzania to mwanza watu wakaisha airport ikawa nyeupe. Kuingia ndani full levelseat, kama zilibaki basi ni seat kama kumi tu