Hii sasa ni pupa, ni papara

Hii sasa ni pupa, ni papara

Kwa ujumla sioni ubaya wa juhudi za kulifufua shirika letu la ndege.

Ni jambo jema tu.

Ila hii ya kununua lidege likubwa kama hilo li Dreamliner, sioni tija yake kwa sasa.

Wangeanza ufufuzi wa hilo shirika kidogo kidogo na hizo ndege ndogo ndogo.

Halafu baadaye baada ya kutengeneza faida ndo wangehitimu kwenye hayo makubwa makubwa ya masafa marefu.

Kununua dege la masafa marefu na kulirusha kwenye safari fupi za ndani ni uwendawazimu!

Kuna kila dalili hilo li Dreamliner litakuwa grounded.

Hii serikali imechemka kabisa hapa!

No two ways about it.
Ni serikali ambayo kwa ujinga wako uliipigania sana Sasa kaieleze hayo maujinga yako usitujazie seva.
miafrika ndivyo mlivyo
 
Ukiwa ni mtu wa kusimamia kanuni hutopata shida kunielewa!

Ila ukiwa mshabiki unayeongozwa na mihemuko basi utapata tabu sana.
Unayepata taabu sana ni weye unayelazimika kulamba matapishi yako mwenyewe.
Ungalikuwa mtu wa kanuni ungekumbuka kuwa mkono ulioshika kinyesi huwa haukatwi. Wewe uliamua kuukata hivyo hutaweza kuunganisha, labda kije kizazi kisichoujua unafiki wako
 
Unayepata taabu sana ni weye unayelazimika kulamba matapishi yako mwenyewe.
Ungalikuwa mtu wa kanuni ungekumbuka kuwa mkono ulioshika kinyesi huwa haukatwi. Wewe uliamua kuukata hivyo hutaweza kuunganisha, labda kije kizazi kisichoujua unafiki wako

Akili ndogo.

Bye Felicia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom