Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
Upi hasa msingi wa swali lako?Unataka mke au msaidiz wa kazi za ndani
Nina haja ya kuujua umri wako kama umeshindwa kung’amua content ya post uliyoni-quote nayo hapo juu.
Upi hasa msingi wa swali lako?Unataka mke au msaidiz wa kazi za ndani
Km unataka mke hata km hajui kupika si tatizo anaelekezwa mdogomdogo mpaka anakaa sawa Ila km unataka msaidiz wa kazi za ndani bila shaka hafai kwa majukumu hayoUpi hasa msingi wa swali lako?
Nina haja ya kuujua umri wako kama umeshindwa kung’amua content ya post uliyoni-quote nayo hapo juu.
Kabisaaa mdogo wangu. 🤣Kabisa, so awe mpole tu asikilizie raha ya ndoa🤣
😀😀😀 mmecheka sana. Lol.Hapo sasa! Anaanzaje kumrudisha wakati mahari alitoa mwenyew na alioa bila kushurutishwa😂
Hapo avute tu kiti afurahie show
Mkuu hayo ni matokea ya katiba mbovu ya Ccm ndio iliyotufikisha hapa!View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
MKUU WEWE MWENZETU HUWA UNAKULA WAPI ?, BAR ??Bado kuna wanaume wanakula nyumbaniii???
Mimi nillishatolewa kwenye ratibaa
Itakua anakula alipopeleka mbogaMKUU WEWE MWENZETU HUWA UNAKULA WAPI ?, BAR ??
Mwanamke sura mambo mengine tutavumiliana.View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Ndio mkuu...jumapili tu ndio nakula nyumbani tena cha usikuMKUU WEWE MWENZETU HUWA UNAKULA WAPI ?, BAR ??
Hapo wanauza matunda, juisi ya miwa, bagia etc pia pana bucha? Nakuja fastaaaHiyo inaongeza nguvu za kiume. Unakuwa unatoa bao zito linalotoka mithili ya mashine ya dizeli ya kusaga inavyowaka (sio kama starter za fekon sekunde mbili tu), yaani sekunde kama 9 hivi unakojoa tu.
NB: Ninauza nyanya, dagaa kama hao na vitunguu safi kutoka Iringa na Mbeya.
Genge langu lipo Kinondoni nyuma ya mahakamani uchochoro wa kwenda Sogodo.
Mbona Kama ilikuwa katika maandalizi MkuuView attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Alaaa kumbeeeNdio mkuu...jumapili tu ndio nakula nyumbani tena cha usiku
Hii si mboga ya wafungwa kweli jamani?View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
HAJUI KUPIKA full stop!Kuna mke wa baba mkubwa hajui kupika Hadi huruma Hana mkono wa kuchopoa chakula chenye ladha, atatia viungo na chakula ukala km maji tu tasteless, Kuna bintiye kamrithi hicho kitu, Ni aibu jamani hadi kinyaa na huruma
Yeah hawajui mara kiungue Mara kibichi mara chumvi nyingi, chakula kinawekwa nazi na bado sio kitamu🤔HAJUI KUPIKA full stop!
Hata kunukia haki nukiii,una baki kujiuliza huyu "KAPIKA au KALOWEKA????"Yeah hawajui mara kiungue Mara kibichi mara chumvi nyingi, chakula kinawekwa nazi na bado sio kitamu🤔
Yani waweza hisi naongopa, hamna kunukia, Ni kubahatisha mara chache na hapo atajisifu kweli, aisee Ni aibu wakipata wageni wanaalika majirani ili kuwapikiaHa
Hata kunukia haki nukiii