BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Hahahahahaha ndiyo wale wa dada wa kucha ndefu hata kuchemsha chai ya rangi hajui.
Chukuchuku hiyo, haina mbwembwe.
Chukuchuku hiyo, haina mbwembwe.
Nonsense...kwa hiyo unataka kusema wanaume wanaochepuka ni kwa sababu wake zao hawajui kupika?naanzaje kuoa wakat kupiks mpka tambi za maziwa na supu ya kongoro najua, anyway upate dem anajua kupika hiv!!! unaanzaje muacha?View attachment 1880091
Sanaaaa.Kwa ugali hiyo ina utamuuu wa Pekee
Chakula chenye afya zake hicho.Hahahahahaha ndiyo wale wa dada wa kucha ndefu hata kuchemsha chai ya rangi hajui.
duuuh kuna matumbo yanapitia wakat mgumu sanaView attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Aligugo mapishi kwenye mtandao. mahitahi -dagaa,vitunguu viwili na nyanya kubwa 3.chnaganya vyote pika mpaka viive.chakula chako kitakuwa tayari kwa kuliwaView attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
huyo mke kabila gani?View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Usikute mumewe anampikia hivi ila danga lake linalishwa vya maana pamoja na kumpa tigo+. Mademu wa kizazi hiki cha bongo fleva kwa kweli ni ishu jamani.View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.