kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,101
- 14,447
Kuna shida gani mkuu mbona iko poa tu
Muogope mungu
Kuna shida gani mkuu mbona iko poa tu
Huyo ndio chaguo lake
Hana namna zaidi ya kumpokea kama alivyo😄Chaguo kama chaguo
Na kifo ndo kitawatenganisha. 🤣🤣Huyo ndio chaguo lake
Ugumu wake uko wapi hapo ??View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Shadeeya, mbona umejibu kwa kujiamini sana ?, na wewe huwa unapika hivyo ??..Na kifo ndo kitawatenganisha. 🤣🤣
Sasa kama mtu alichagua tako tumsaidieje ndio limepika ale tu.View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Hahahaaaa. Kwetu huwa hatuna mapishi ya chuku chuku Mkuu.Shadeeya, mbona umejibu kwa kujiamini sana ?, na wewe huwa unapika hivyo ??..
Hahahaaa. Kwa kweli.Hana namna zaidi ya kumpokea kama alivyo😄
Muogope
😀😀😀Wakishua hauwezi elewamungu
Hana namna zaidi ya kumpokea kama alivyo
Nyie ndo hamkawii kuachikaKuna shida gani mkuu mbona iko poa tu
View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Kabisa, so awe mpole tu asikilizie raha ya ndoa🤣Na kifo ndo kitawatenganisha. 🤣🤣
Ndo maana hua wanarudi makwao usiku mwingi na wamelewa ili kuepuka changamoto'View attachment 1880067
Kuna watu wanaishi maisha magumu duniani.
Hapo sasa! Anaanzaje kumrudisha wakati mahari alitoa mwenyew na alioa bila kushurutishwa😂Hahahaaa. Kwa kweli.
Na akishindwa kuvumilia amnunulie simati foni agugo mapishi huko yutubu. Lol
#Kumrudisha kwao ni mwiko.
Unataka mke au msaidiz wa kazi za ndaniHawa ndo wale mnakutana vyuoni hujui amelelewa vipi miezi sita ushapeleka barua mwezi wa tisa ndoa kumbe alikotoka kwao mpaka nguo za ndani alikuwa anafuliwa na house girl hata kugeuza mchicha hawezi.
Usishangae haya yapo!