Hii ni mara ya kwanza nchi kupata rais anayeishi kwenye mapango na kujificha hakuwa hivi alipo ingia anajua ameuwa watu wengi sana

Hii ni mara ya kwanza nchi kupata rais anayeishi kwenye mapango na kujificha hakuwa hivi alipo ingia anajua ameuwa watu wengi sana

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Hii ni mara ya kwanza nchi kupata rais anayeishi kwenye mapango na kujificha hakuwa hivi alipo ingia anajua ameuwa watu wengi sana.

Ndio maana anatajwa tajwa na kina mwigulu kila siku na bunge kila siku ili kumpumbaza amekataliwa na haibadilishi kitu.
 
Hii ni mara ya kwanza nchi kupata rais anayeishi kwenye mapango na kujificha hakuwa hivi alipo ingia anajua ameuwa watu wengi sana.

Ndio maana anatajwa tajwa na kina mwigulu kila siku na bunge kila siku ili kumpumbaza amekataliwa na haibadilishi kitu.
Usijisahau HPp alitabiri kuhamia kama sii kuishi mapangoni kwa wahuni na aliahidi kuwachomoa kutoka mapangoni.
 
Aendelee kujificha huko huko, hakuna anayetaka kuiona sura yake. Akionekana tu inakuwa ni kama vile umeuona uso wa shetani.

Fikiria watu aliowaua, kwa hakika unasema ni aheri asingezaliwa. Bila ya uwepo wake, maelfu ya hawa aliwaua wangekuwa na wapendwa wao. Huyu shetani kasababisha majonzi kwa familia nyingi, machozi ambayo hayawezi kufutika.
Mungu wa rehema awajalie pumzika jema wote waliouawa na huyu shetani. Na laana ikatembee na huyu mtu na genge lake lote la wauaji.
 
Hii ni mara ya kwanza nchi kupata rais anayeishi kwenye mapango na kujificha hakuwa hivi alipo ingia anajua ameuwa watu wengi sana.

Ndio maana anatajwa tajwa na kina mwigulu kila siku na bunge kila siku ili kumpumbaza amekataliwa na haibadilishi kitu.
Huyu ibilisi akifa ni motoni tu
downloadfile-2.png
VamP.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1760422784966.jpg
    FB_IMG_1760422784966.jpg
    114.6 KB · Views: 13
Back
Top Bottom