Hii ni kwenu wasichana

Hii ni kwenu wasichana

Ile theory aliotufundisha lecture mmoja hivi kumbe ni kweli bana!!! The difference between men and women
 
Ile theory aliotufundisha lecture mmoja hivi kumbe ni kweli bana!!! The difference between men and women
Please unaweza kuidadavua hapa, au kama ni ndefu basi iandalie thread
 
Yaaani hii mada kama umenigusa mimi, yaani wa kwangu huwa anapenda kila siku lazima tuongee kwenye simu, tuchat, sasa muda mwingine unakuta mtu umechoka lakini ukimweleza utasikia umepata mwingine ndio maana hunijali, wakati sio kweli.
 
Yaaani hii mada kama umenigusa mimi, yaani wa kwangu huwa anapenda kila siku lazima tuongee kwenye simu, tuchat, sasa muda mwingine unakuta mtu umechoka lakini ukimweleza utasikia umepata mwingine ndio maana hunijali, wakati sio kweli.
Ukiona hivyo unapendwa shikiria hapo hapo. Siku upendo huo ukiisha hutomwona kufanya hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom