STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
- Thread starter
- #221
Alafu ukute sio muelewa.. Ndo utadata.....Yaaani hii mada kama umenigusa mimi, yaani wa kwangu huwa anapenda kila siku lazima tuongee kwenye simu, tuchat, sasa muda mwingine unakuta mtu umechoka lakini ukimweleza utasikia umepata mwingine ndio maana hunijali, wakati sio kweli.
Ila tuwavumilie tu labda muujiza utatokea