Hii ni akili au kukengeuka?

Hii ni akili au kukengeuka?

Huwa tunajenga nyumba ili kuridhisha nafsi zetu kutokana na uhitaji au ni kutaka jamii ione nimejenga aina fulani ya nyumba?​
Sasa kwanini ujenge nyumba halafu uweke hayo mamichicha wakati nafsi ya mtu inataka kuweka paving na maua
 
Zamani tulikuwa tukijenga nyumba zetu, tutaweka bustani ndogo ndogo za mbogamboga na mtunda, mabanda ya mifugo midogo midogo ili utakapo hitaji chochote iwe ni rahisi kupata hapo ulipo.​
Mkuu mimi binafsi maisha haya nayaishi na siwezi acha yana raha yake.
 
Ila kabustani ka mboga mboga ni kazuri sana kwenye eneo la nyumba hata watoto wanajifunza kazi.

Nakumbuka nikiwa nyumbani jioni ni kunyweshea bustan ya mboga na nilikuwa nazila sana kwa wingi.
 
Mkuu tabia ya kuishi na banda la mifugo mjini hapana aisee.
Kama unataka kufuga mbuzi, ng'ombe nk tafuta eneo nje ya mji.
Mbuzi wana harufu furani haivumiliki.
 
Mkuu hilo linategemea unapoishi. Huwezi kuishia manzese au sinza ukafanya hayo
 
Huo ni ulimbukeni wa kiungwana ulio tamaraki kwa watanzania wengi.
 
Kunq jirani yqngu kajenga nyumba kaweka fensi hqlqfu kqvqmiq enro langu kalima mihogo na mbogqmbogq jumqpili na3ndq kukatakatq mqzqo yake.
Ana eneo la kutosha ila kaacha kutumia eneo lake kavamia kwangu, ngoja nimnyooshe.
 
Tafuta heka mkuu acha kulalamika...🤣 kama mchocha nenda tutanua markiti, bustani hatuwezi nunua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom