Hii ni akili au kukengeuka?

Hii ni akili au kukengeuka?

Kutokuwa na hivyo vitu, vitakupelekea kupenda sana hela na utatumia njia yoyote kupata hela, iwe kwa kufitini, uchawa, kuiba, unafiki n.k
Tafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
 
Garden nyumbani ni nzuri sana sana kwa kupata hewa nzuri na muonekano mzuri lakini pia katikati ya garden unaweka miti ya matunda unavuna tu mfano maembi ya kizungu au parachichi,pia garden inafanya nyumba kutochafuka kwa vumbi nk kila kitu na faida yake ndugu
 
Tafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
Mchicha unasaidia macho kuona
 
Garden nyumbani ni nzuri sana sana kwa kupata hewa nzuri na muonekano mzuri lakini pia katikati ya garden unaweka miti ya matunda unavuna tu mfano maembi ya kizungu au parachichi,pia garden inafanya nyumba kutochafuka kwa vumbi nk kila kitu na faida yake ndugu
Uko sahihi kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom