Tafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo banaKutokuwa na hivyo vitu, vitakupelekea kupenda sana hela na utatumia njia yoyote kupata hela, iwe kwa kufitini, uchawa, kuiba, unafiki n.k
Ndo ushangaeSasa kila mtu akipanda mboga mboga nyumbani kwake hawa wauza mboga mboga wataendesha vipi maisha yao.
Miaka ya nyuma walikuwa wanaishije?Sasa kila mtu akipanda mboga mboga nyumbani kwake hawa wauza mboga mboga wataendesha vipi maisha yao.
Leo hii umefukuzwa kazi, utaishije?Sasa kila mtu akipanda mboga mboga nyumbani kwake hawa wauza mboga mboga wataendesha vipi maisha yao.
Ndo ushaSasa kila mtu akipanda mboga mboga nyumbani kwake hawa wauza mboga mboga wataendesha vipi maisha yao.
Kwani wengine wanaishijeLeo hii umefukuzwa kazi, utaishije?
Mchicha unasaidia macho kuonaTafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
Uko sahihi kabisaGarden nyumbani ni nzuri sana sana kwa kupata hewa nzuri na muonekano mzuri lakini pia katikati ya garden unaweka miti ya matunda unavuna tu mfano maembi ya kizungu au parachichi,pia garden inafanya nyumba kutochafuka kwa vumbi nk kila kitu na faida yake ndugu
😀 mie naona sasa wepanda amabaye huoniMchicha unasaidia macho kuona
Unajua hayo mazingira unayoishi yanapunguza siku za kuishi?Sisi wa Masaki tuna mashamba huko Bagamoyo, kwa hiyo kila wikiendi tunamtuma hausboy na guta akaletea mbogamboga na matunda
Hewa safiMaua yanapamba boma
Tupe utafiti hebu ya usemayo mkuuUnajua hayo mazingira unayoishi yanapunguza siku za kuishi?
Maisha ya ujanja ujanja/utapeli utapeli.Ndo usha
Kwani wengine wanaishije
Unajua kwa nini wazee vijijini wanaishi miaka mingi?Tupe utafiti hebu ya usemayo mkuu
Utafiti wako wa wapi huuMaisha ya ujanja ujanja/utapeli utapeli.
Na mchicha je?Maua yanapamba boma
Kwa sababu ridhiki yao bado inasoma kwa muumba wa mbingu na aridhi ndo maana bado wapo au unataka nikichambulie mchicha why wapo !Unajua kwa nini wazee vijijini wanaishi miaka mingi?