Je, hii ni nchi au familia?

CWR2016

JF-Expert Member
Dec 14, 2017
2,760
6,294
Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
F0S-9CpX0AA8ieA.jpeg
F0_nJ7eXsAIw3-7.jpeg
Screenshot_20230716-000531.jpg

Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

Screenshot_20230717-003149.jpg
F1IsQK8WwAAiK0D.jpeg
F1JJAk6XgAIoe6l.jpeg

Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

Screenshot_20230714-165246.jpg
20230714_183735.jpg
F1IxGAxWwAAckZ7.jpeg


Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

FzP3JBeXgAARmEo.jpeg
Screenshot_20230714-131418.jpg
F1KeXDpWwAID6cE.jpeg


Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
 

Attachments

  • F0S-9CpX0AA8ieA.jpeg
    F0S-9CpX0AA8ieA.jpeg
    216.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230716-000531.jpg
    Screenshot_20230716-000531.jpg
    225.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230714-165246.jpg
    Screenshot_20230714-165246.jpg
    151.8 KB · Views: 3
Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
View attachment 2690497View attachment 2690500View attachment 2690504
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

View attachment 2690506View attachment 2690508View attachment 2690509
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

View attachment 2690510View attachment 2690511View attachment 2690513

Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

View attachment 2690517View attachment 2690520View attachment 2690526

Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
Wazee wa bahasha njoeni hapa mtudadavulie kwa facts... Lord denning, Faizafoxy mfia dini, covax, GUSSIE choiceVariable HIMARS!! NB; Msijeleta ngonjera hapa kila kitu kiko open. Jibuni hizi hoja ili mnachokikitetea raia wawaelewe!!
 
Moja kwa moja kwenye mada,

Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?

Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?

Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
View attachment 2690497View attachment 2690500View attachment 2690504
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!

Tuendelee hapa chini..

View attachment 2690506View attachment 2690508View attachment 2690509
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.

Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!

Sisi ni "majuha?"

Tuendelee hapa chini tena..

View attachment 2690510View attachment 2690511View attachment 2690513

Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.

Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?

Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..

View attachment 2690517View attachment 2690520View attachment 2690526

Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....

Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?

Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!

Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?

Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!

Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!

Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
Nimescroll tu
 
Back
Top Bottom