Moja kwa moja kwenye mada,
Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?
Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?
Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!
Tuendelee hapa chini..
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.
Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!
Sisi ni "majuha?"
Tuendelee hapa chini tena..
Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.
Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?
Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..
Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....
Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?
Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!
Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?
Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!
Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!
Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!
Kwa jinsi mambo yanavyoenda, najiuliza kweli hii tuliyomo ni "level" ya nchi kweli?
Au ni familia ya mtu kaamua ajinywee pombe zake na kuamua chochote?
Hebu tazama mifano michache hapa chini:-
Hebu soma mtiririko hapo juu,
Je, sisi wananchi ni "majuha"?!
Au hii nchi ni kama familia ya mtu, anaamua tu kusema lolote hata kama sio kweli?!
Tuendelee hapa chini..
Hebu soma tena mtiririko hapo juu,
Huyu ni Naibu Waziri, hapo alichokuwa anazungumza kipo wapi, kilichoandikwa kinaonekana kabisa, kuanzia 'heading' ya mkataba, hadi Appendix 1, phase2.
Nauliza hawa watu, are they jokers?! Is this a country really or just someone's family?!
Sisi ni "majuha?"
Tuendelee hapa chini tena..
Hebu tafakari.
Hiki ni kituko, these people are not serious!
Na hizo negotiations za DP WORLD na wakenya zilipigwa chini mwaka 2022.
Hivi najiuliza kweli huko CCM Kuna mtu ako serious kabisa?
Haya tazama tena hapa chini, si wanasema sio mkataba ooh bado hatuna mkataba..
Haya soma hapo juu, hiyo ni taarifa ya kamati ya Bunge, wanatamka kabisa "kwa kuwa MKATABA...",
Pia huyu anayeitwa Hamza Johari, anasema tumeweka kipengele katka mkataba kwamba hakuna mfanyakazi wa bandari....
Hicho kipengele wamekiweka wapi? Ktk MKATABA upi!?
Hivi ni maigizo au mazingaombwe?!
Hii nchi in TISS, JWTZ, PCCB, MAHAKAMA, BUNGE, MAWAZIRI, WABUNGE, TLS, LHRC, n.k
Hao wote wameshindwa kumsaidia mh. Rais Samia.?
Yani tamaa za CCM za uchaguzi ujao na za 10% za rushwa ktk hili, linayumbisha nchi kiasi hiki?!
Wote tumekuwa Taifa la ovyo kiasi hiki?!
Hii ni nchi au familia, ni akili au matope?!