Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,934
- 61,718
- Thread starter
- #61
Sawa, ngoja niingie bustanini nivunje muhindi nichomeHilo ni somo jingine mkuu
Sawa, ngoja niingie bustanini nivunje muhindi nichomeHilo ni somo jingine mkuu
Tafuta pesa mkuuSawa, ngoja niingie bustanini nivunje muhindi nichome
Nje ya makazi wanatumia kilimo cha umwagiliaji au cha mvua?Watu wengine wanamiliki mashamba nje ya makazi. Hawana haja ya kutumia kieneo kidogo kilichobakia nyumbani.
Hayo mashamba yaliyopo mbali, ni ya kumwagilia au ya kungojea mvua?Nilitaka kujibu hivi 👋 👋 👋 👋
Pesa ya kununulia nini, wakati mchicha navuna hapa bustanini kwangu?Tafuta pesa mkuu
Wale unawapelekea hela, kwako nani anayekuletea hela?Unataka nilime bustani nyumbani wale wauza mbogamboga sokoni watauza nini?
Inategemea unaisshi wapi.? Mashamba na mifugo mjini marufuku. Ila kama unakaa njombe jiachie uwezavyoHayo mashamba yaliyopo mbali, ni ya kumwagilia au ya kungojea mvua?
mpaka unajenga nyumba, uwe huna kitega uchumi?Wale unawapelekea hela, kwako nani anayekuletea hela?
Ilishatokea kenge wewe bwasheelockdown ikitokea utakula hiyo bustani
Mzee tembea WATU wanafuga kuku na kulala nao ndani , mbuzi n.k hapa hapa Dar, kinondoni, chanika na kibonde majiZamani tulikuwa tukijenga nyumba zetu, tutaweka bustani ndogo ndogo za mbogamboga na mtunda, mabanda ya mifugo midogo midogo ili utakapo hitaji chochote iwe ni rahisi kupata hapo ulipo.
Nyakati hizi hatujui ni pepo gani ametuingia, tumehama katika hizo bustani na ufugaji mdogo mdogo, na kukimbilia kwenye uoteshaji wa bustani za maua, ukoka n.k na wakati mwingine kusiliba eneo lote kwa siment au vitofali ili tusioteshe chochote. Huku ukigharamia bili za maji za kunyweshea maua yasiokuwa na faida.
Sasa, hii ni akili au kukengeuka?
Hujaona nyumba nyingi zilizokuwa tishio miaka hiyo, kwa sasa zimezeeka paa zimekuwa kama jezi ya simba?mpaka unajenga nyumba, uwe huna kitega uchumi?
Punguza homa ya udiniBoss usingeeleweka bila kukashifu imani za watu? Unamuita huyo Allah, una akili kweli hata za kuvukia barabara
Tuseme kweli tu ndugu yangu umri umeghafirikaKwa hiyo mchicha unaenda kuchukulia wapi?
Mkuu mnisamehe mie hii agenda haina tija let focus na mambo mengine am wrong tuishi kwa umoja mzozo tusiupe nafasi 👪Punguza homa ya udini
Mtu kashangaa kipwani Allaahh.! unamlebo.!
Hebu kuwa wa kawaida