Hii ni akili au kukengeuka?

Hii ni akili au kukengeuka?

Tafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
Haiwezekani tuseme tu ukweli kuna nyumba za gharama kubwa hazifananii kabisa kupandwa mchicha au kufugiwa kuku. Lakini kwa sababu wote tupo nyuma ya keyboard ngoja tuendelee tu Kubiashana
 
Unajua kwa nini wazee vijijini wanaishi miaka mingi?
Wazee wa kijiji wanaishi maisha marefu ni kwa sababu riziki yao ya kuoshi duniani bado unasoma kwa muumba wao au unadhani ni michicha na chainizi lahadha ni riziki zao bado hazijaisha ndo maana bado yuko, analijua hilo !
 
Haiwezekani tuseme tu ukweli kuna nyumba za gharama kubwa hazifananii kabisa kupandwa mchicha au kufugiwa kuku. Lakini kwa sababu wote tupo nyuma ya keyboard ngoja tuendelee tu Kubiashana
Hahahaha ukweli anaujua mkuu huyu anatubabaisha tu
 
Haiwezekani tuseme tu ukweli kuna nyumba za gharama kubwa hazifananii kabisa kupandwa mchicha au kufugiwa kuku. Lakini kwa sababu wote tupo nyuma ya keyboard ngoja tuendelee tu Kubiashana
Ukifugia kuku na bustani ya mbogamboga jengo linakuwaje?
 
Tafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
Boss usingeeleweka bila kukashifu imani za watu? Unamuita huyo Allah, una akili kweli hata za kuvukia barabara
 
Wazee wa kijiji wanaishi maisha marefu ni kwa sababu riziki yao ya kuoshi duniani bado unasoma kwa muumba wao au unadhani ni michicha na chainizi lahadha ni riziki zao bado hazijaisha ndo maana bado yuko, analijua hilo !
Unahisi vifo vyote huwa ni mpango wa mungu, au vingine vinasababishwa kutokana na mazingira tunayoishi?
 
Boss usingeeleweka bila kukashifu imani za watu? Unamuita huyo Allah, una akili kweli hata za kuvukia barabara
Sorry 😞 wala sijakashifu mkuu am sorry 😞 siwezi kukushifu mimi am sorry kama umeelewa vibaya am sorry siyo mtu wa hivyo am sorry mkuu am sorry kama umekwazika samahani sana sikuwa na maana hiyo mkuu mie ni binadam nimekoseam am sorry tuishi kwa upande na umoja samahani sana haito jirudia namaanisha
 
Ukifugia kuku na bustani ya mbogamboga jengo linakuwaje?
Kuna watu wanamijengo mizuri tu ya gharama na maeneo makubwa humo humo wanafuga na kulima bustani ni jambo zuri.

Ila hapahapa mjini kuna nyumba za gharama kubwa kiasi kwamba ukifanya hivyo nikama tu unazichafua
 
Sorry 😞 wala sijakashifu mkuu am sorry 😞 siwezi kukushifu mimi am sorry kama umeelewa vibaya am sorry siyo mtu wa hivyo am sorry mkuu am sorry kama umekwazika samahani sana sikuwa na maana hiyo mkuu mie ni binadam nimekoseam am sorry tuishi kwa upande na umoja samahani sana haito jirudia namaanisha
Umesamehewa boss wangu,tupo pamoja
 
Kuna watu wanamijengo mizuri tu ya gharama na maeneo makubwa humo humo wanafuga na kulima bustani ni jambo zuri.

Ila hapahapa mjini kuna nyumba za gharama kubwa kiasi kwamba ukifanya hivyo nikama tu unazichafua
Huwa tunajenga nyumba ili kuridhisha nafsi zetu kutokana na uhitaji au ni kutaka jamii ione nimejenga aina fulani ya nyumba?​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom