Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,935
- 61,723
- Thread starter
- #41
We huoni siku hizi watu wanathamini pesa kuliko utu?Utafiti wako wa wapi huu
We huoni siku hizi watu wanathamini pesa kuliko utu?Utafiti wako wa wapi huu
Haiwezekani tuseme tu ukweli kuna nyumba za gharama kubwa hazifananii kabisa kupandwa mchicha au kufugiwa kuku. Lakini kwa sababu wote tupo nyuma ya keyboard ngoja tuendelee tu KubiashanaTafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
Fafanua zaidiKwa sababu ridhiki yao bado inasoma kwa muumba wa mbingu na aridhi ndo maana bado wapo au unataka nikichambulie mchicha why wapo !
Wazee wa kijiji wanaishi maisha marefu ni kwa sababu riziki yao ya kuoshi duniani bado unasoma kwa muumba wao au unadhani ni michicha na chainizi lahadha ni riziki zao bado hazijaisha ndo maana bado yuko, analijua hilo !Unajua kwa nini wazee vijijini wanaishi miaka mingi?
Hahahaha ukweli anaujua mkuu huyu anatubabaisha tuHaiwezekani tuseme tu ukweli kuna nyumba za gharama kubwa hazifananii kabisa kupandwa mchicha au kufugiwa kuku. Lakini kwa sababu wote tupo nyuma ya keyboard ngoja tuendelee tu Kubiashana
Ukifugia kuku na bustani ya mbogamboga jengo linakuwaje?Haiwezekani tuseme tu ukweli kuna nyumba za gharama kubwa hazifananii kabisa kupandwa mchicha au kufugiwa kuku. Lakini kwa sababu wote tupo nyuma ya keyboard ngoja tuendelee tu Kubiashana
Boss usingeeleweka bila kukashifu imani za watu? Unamuita huyo Allah, una akili kweli hata za kuvukia barabaraTafuta pesa mkuu upande maua kwa nyumba yako na si mboga mboga, hivi tuseme ukweli una kibunda unaweza panda mchicha kwako ndani Allah mkuu Acha hizo bana
Sasa hili ni darasa refu mno .muda muchacheFafanua zaidi
Unahisi vifo vyote huwa ni mpango wa mungu, au vingine vinasababishwa kutokana na mazingira tunayoishi?Wazee wa kijiji wanaishi maisha marefu ni kwa sababu riziki yao ya kuoshi duniani bado unasoma kwa muumba wao au unadhani ni michicha na chainizi lahadha ni riziki zao bado hazijaisha ndo maana bado yuko, analijua hilo !
Kwa hiyo mchicha unaenda kuchukulia wapi?Sasa hili ni darasa refu mno .muda muchache
Sorry 😞 wala sijakashifu mkuu am sorry 😞 siwezi kukushifu mimi am sorry kama umeelewa vibaya am sorry siyo mtu wa hivyo am sorry mkuu am sorry kama umekwazika samahani sana sikuwa na maana hiyo mkuu mie ni binadam nimekoseam am sorry tuishi kwa upande na umoja samahani sana haito jirudia namaanishaBoss usingeeleweka bila kukashifu imani za watu? Unamuita huyo Allah, una akili kweli hata za kuvukia barabara
Kuna watu wanamijengo mizuri tu ya gharama na maeneo makubwa humo humo wanafuga na kulima bustani ni jambo zuri.Ukifugia kuku na bustani ya mbogamboga jengo linakuwaje?
Hilo ni somo jingine mkuuUnahisi vifo vyote huwa ni mpango wa mungu, au vingine vinasababishwa kutokana na mazingira tunayoishi?
Watu wengine wanamiliki mashamba nje ya makazi. Hawana haja ya kutumia kieneo kidogo kilichobakia nyumbani.Anayefanya hivyo, mbogamboga anapata wapi?
Umesamehewa boss wangu,tupo pamojaSorry 😞 wala sijakashifu mkuu am sorry 😞 siwezi kukushifu mimi am sorry kama umeelewa vibaya am sorry siyo mtu wa hivyo am sorry mkuu am sorry kama umekwazika samahani sana sikuwa na maana hiyo mkuu mie ni binadam nimekoseam am sorry tuishi kwa upande na umoja samahani sana haito jirudia namaanisha
Sasa Allah ni kitu cha kujivunia?Boss usingeeleweka bila kukashifu imani za watu? Unamuita huyo Allah, una akili kweli hata za kuvukia barabara
Kuna watu wanamijengo mizuri tu ya gharama na maeneo makubwa humo humo wanafuga na kulima bustani ni jambo zuri.
Ila hapahapa mjini kuna nyumba za gharama kubwa kiasi kwamba ukifanya hivyo nikama tu unazichafua
Shukrani maalimu we are together ❤ ♥Umesamehewa boss wangu,tupo pamoja
Nilitaka kujibu hivi 👋 👋 👋 👋Skuizi tunatofautisha nyumba na Shamba, Haiwezekani ukae na Ng'ombe nyumbani kwako wakati Tanzania hii bado ardhi ni za kuchukua tu.
Hii agenda tungeachana nayo mkuu haina tija sisi ni family 👪 moja am wrong tuishe hebu .Sasa Allah ni kitu cha kujivunia?