Ngoja waje wachagga na bastola zao
Habari ya muda na wakat huu??
Kutokana na matukio ambayo nimeyashuhudia imebidi kujiuliza hili swali!
Mwanaume anapojiingiza kwenye mahusiano na mwanamke huku akijua dhahiri huyo mwanamke ameolewa/yupo kwenye serious relationship!
Mwanamke anapokuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume ambaye ni mume/mchumba wa mwanamke mwingine...
Yaani mwanamke anakua anajisikiaje kujijua yeye ni nyumba ndogo??
Na mwanaume anajiskiaje kuwa kidumu!??
ni ipi maana halisi baby?
unatafuna big g aliyoitafuna mwanaume mwenzio?
wee huwezi kuilinganisha ile kitu na big g atii maana haishi utamu!!!
my lady naomba nionje huo utamu
hahahaaa, taratibu hamkawii kuchochonga mzinga.... Utamu upo kwa ajili ya mtu special tu.
jaman lady doctor mie mara moja tu
Khaa mbna hyo ndo habar ya mujini now?! Cku hzi hakuna alieolewa wala alieoa. Unakuta m2 ana mke wake wa ndoa kbsa ya kanisan na ana watoto na mkewe bt anashnda na kulala kwangu nifanyej nimfukuze?? Hapo mtot wakike sikohoi mama unataka nini, hta nimuite saa8 za ucku anawasha gar yake toka kibaha mpaka dar anakuja. Tishia kumuacha sasa, unamkuta muh2 hoi presha au kanywa sumu. Chezea nyumba ndogo wew!!! Haswaa awe mtot wa kinyamwez aliekulia unyamwezini??!!! Utachoka mwenyew
wenyewe siku hizi wanaita,MAHABA NIUWE.Habari ya muda na wakat huu??
Kutokana na matukio ambayo nimeyashuhudia imebidi kujiuliza hili swali!
Mwanaume anapojiingiza kwenye mahusiano na mwanamke huku akijua dhahiri huyo mwanamke ameolewa/yupo kwenye serious relationship!
Mwanamke anapokuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume ambaye ni mume/mchumba wa mwanamke mwingine...
Yaani mwanamke anakua anajisikiaje kujijua yeye ni nyumba ndogo??
Na mwanaume anajiskiaje kuwa kidumu!??