Hii ndiyo maana halisi ya "love does not ask WHY"?

Hii ndiyo maana halisi ya "love does not ask WHY"?

kwa hiyo unajisikia amani kabisaa kumega anapomega mwenzio?
Halua haina makombo....... na wala hukumtuka bikra walikula na wataendelea kula.na ukisusa wenzio wanakula vilevile..
 
Halua haina makombo....... na wala hukumtuka bikra walikula na wataendelea kula.na ukisusa wenzio wanakula vilevile..

basi sawa ila mmmhh hapana kwa upande wangu....
 
nilishawah mbona Jawilat . akili itauliza ila sio moyo...halaf wapo wengi tupo nao, na wanawengne bila hata ya sisi kujua.

hiyo ya kutokujua sio mbaya ila sasa unakua unajua kabisa huyu ni mke/mume wa fulani..khaa kweli mapenzi hayaulizi....
 
Last edited by a moderator:
unatafuna big g aliyoitafuna mwanaume mwenzio?

zingine bado zinakuwa na utamu, sema zingne ndo hvyo zimeisha unaila hvyo hvvyo. ila kawaida aisee tena yanakuwa matamu sn mapenzi ya hivyo
 
zingine bado zinakuwa na utamu, sema zingne ndo hvyo zimeisha unaila hvyo hvvyo. ila kawaida aisee tena yanakuwa matamu sn mapenzi ya hivyo

haya kijana kazi kwako...
 
Hio ni njia ya kuhalalisha uzinifu tu!Ninavyoelewa mimi love doesn´t ask why maanake unampenda mtu without knowing why...Inatokea tu kama coincidence unampenda mtu!
 
Hio ni njia ya kuhalalisha uzinifu tu!Ninavyoelewa mimi love doesn´t ask why maanake unampenda mtu without knowing why...Inatokea tu kama coincidence unampenda mtu!

akhsante ufafanuzi mzuri..kwa hiyo hata anaempenda mume/mke wa mtu amependa bila kujua sababu!!!!!
 
Mhhhhhhhhhhhh! ambo hayo si rahisi kama unavozania!

Unakuta mtu kakuingia rohoni sema ndo kawahiwa na mwenzio unafanyaje! Ukubali kumpa ushindi wa mezani uidhulumu nafsi au mbanane hapo hapo!

Afterall huondoki nayo, mambo yanakuwa kutesa kwa zamu!

KIPENDACHO ROHO HULA NYAMA MBICHI!!!!!!!!!

Je wewe ndo ungekua wakwanza kumpenda huyo bwana ungejickiaje labda ungejua unampinzani mtaa wa pili???
 
Mhhhhhhhhhhhh! ambo hayo si rahisi kama unavozania!

Unakuta mtu kakuingia rohoni sema ndo kawahiwa na mwenzio unafanyaje! Ukubali kumpa ushindi wa mezani uidhulumu nafsi au mbanane hapo hapo!

Afterall huondoki nayo, mambo yanakuwa kutesa kwa zamu!

KIPENDACHO ROHO HULA NYAMA MBICHI!!!!!!!!!

Nimeipenda hii. Mi sikuwa na jibu siku zote. Leo nimelipata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom