Hii ndiyo maana halisi ya "love does not ask WHY"?

Hii ndiyo maana halisi ya "love does not ask WHY"?

Mbona mapenzi ya siku hizi kama siti za daladala "ukiinuka mwingine anakalia" hii ni dhahiri kabisa kama unaamua kuoa ama kuolewa badi weka kwenye fikra zako kuwa utapiga kama sio kupigiwa mwenza wako. Funga mkanda endelea na safari ya maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom