Jamani kuulamba ukiwa ofisini ni kosa ? Mwenzenu leo yamenikuta boss wangu kanikaripia kama mtoto mdogo mbele ya watumishi wenzangu kisa nimevaa suit na tai, kaahidi kunihamishia kijijini ili aone kama na huko nitaweza kuvaa suit na tai maana nitakuwa nashinda stoo. Sawa hiyooooooo !