kali KENYATTA
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 288
- 166
Hesabu za Membe hazipo sawa sawa. Lowassa alifanya timing muhimu mno. Mwaka pekee ambao tungeshudia Upinzani ukishika dola ulikua ni 2015. CCM ni chama kinachobadilika kulingana na mazingira. Kinajikosoa na kubadilika.
1. CCM ilikua imechukiwa na raia. Hivyo 2015 ilikua ni karata muhimu kuiondoa CCM madarakani.
2. Lowassa alikua na umaarufu na uwekezaji mkubwa kwenye safari yake kuelekea IKULU. Sioni Membe akifika hata nusu za harakati za Lowassa.
3. Membe anakwenda kupambana na CCM iliyorudisha imani kwa raia. Anakwenda kukutana na siasa za Upinzani zilizogawanyika. Sitegemei ile spirit ya UKAWA kuwa live. Mwaka 2015 kulitokea kusalitiana. Vyama vya upinzani haviaminiani kirahisi.
1. CCM ilikua imechukiwa na raia. Hivyo 2015 ilikua ni karata muhimu kuiondoa CCM madarakani.
2. Lowassa alikua na umaarufu na uwekezaji mkubwa kwenye safari yake kuelekea IKULU. Sioni Membe akifika hata nusu za harakati za Lowassa.
3. Membe anakwenda kupambana na CCM iliyorudisha imani kwa raia. Anakwenda kukutana na siasa za Upinzani zilizogawanyika. Sitegemei ile spirit ya UKAWA kuwa live. Mwaka 2015 kulitokea kusalitiana. Vyama vya upinzani haviaminiani kirahisi.