Hesabu za Membe hazipo sawa sawa

Hesabu za Membe hazipo sawa sawa

Huyu mtu uwezo wake ni Mdogo sana tena sana. Hata akipewa ukuu Wa wilaya hauwezi.
Amebebwa sana na JK.
Huyu sio MTU Wa aina ya Mzee Malecela, Salim Ahmed Salim, Au hata Marehemu Balozi Maiga, hawa ni Preaisente materials.
For God sake Membe? For what?
Wewe mwenye uwezo mkubwa uko wapi Ajira ya kujishikiza unamuita membe akili ndogo tuliza mshono utaelewa tu mchezo
 
JPM hana mbadala, anapendwa na watu wengi, Wengi wanamwamini na kwa namna alivyoshughulika na Corona hili limempa credit sana tena sana, Kazi yangu inanikutanisha na watu wengi sana, kuna watu walikuwa wanampinga ambao ni Wapinzani Kinda kinda nimeshangaa sana kwa sasa huwaambii kitu.
Ukiondoa kelele za kwenye mtandao hamna mbadala.
Basi kama anakubarika subiria uone
 
Dah...Bosi.. kwani nani kakwambia hizo hesabu zake? BM anahesabu tofauti na hizo kabisa
 
Nguvu ya upinzani 2015 haiwezi tokea tena 2020.BM aende chama chochote cha upinzani hawezi pata kura hata nusu ya Edlow.
 
Nguvu ya upinzani 2015 haiwezi tokea tena 2020.BM aende chama chochote cha upinzani hawezi pata kura hata nusu ya Edlow.
Sawa hapati acha kumaliza damu.yako na kupayuka kumponda tunajua hana nguvu subiria uchaguzi
 
Hili la Membe nadhani limewachanganya zaidi wapinzani kuliko CCM. sasa hivi upinzani umejikuta una watu wawili wanaoutaka Urais kwa udi na uvumba. sijui nani atakubali kumwachia mwenzake, nauona mpasuko na siyo muungano wa upinzani. Wapo wanaomtaka Lissu, wengi wako Chadema na wengi wanaomtaka Membe wako ACT Wazalendo. Sijui ataenda wapi tusubiri.

Kimsingi Membe hana madhara makubwa kwa CCM kama ilivyokuwa kwa Lowassa.

Naiona CCM ikijiimarisha zaidi na kushinda kwa kishindo.
 
Ugoigoi wa jiwe ndio unampa kiburi membe!!watakaompa kura ni wale waliochoshwa na jiwe!!vijana hawana ajira!wazazi wamesomesha hewa hakuna matunda!!udhalilishaji kina mama eti matiti yao ni Barakoa!!!
Anyway. Ngoja usikilizwe pia.
 
Membe ni mtu fulani ambae wakati mfumo uko upande wake alifunga mdomo kabisa sasa mfumo umehama ndio anaanza kubweka, Atulie tu hawezi fika hata Robo ya EL 2015
Fact. Membe hana nafasi ya kuzishinda harakati za Lowassa.
 
Huyu mtu uwezo wake ni Mdogo sana tena sana. Hata akipewa ukuu Wa wilaya hauwezi.
Amebebwa sana na JK.
Huyu sio MTU Wa aina ya Mzee Malecela, Salim Ahmed Salim, Au hata Marehemu Balozi Maiga, hawa ni Preaisente materials.
For God sake Membe? For what?
 
Hili la Membe nadhani limewachanganya zaidi wapinzani kuliko CCM. sasa hivi upinzani umejikuta una watu wawili wanaoutaka Urais kwa udi na uvumba. sijui nani atakubali kumwachia mwenzake, nauona mpasuko na siyo muungano wa upinzani. Wapo wanaomtaka Lissu, wengi wako Chadema na wengi wanaomtaka Membe wako ACT Wazalendo. Sijui ataenda wapi tusubiri...
Fact
 
Back
Top Bottom