cheap analysis! Kubadilika kuwaua wapinzani? Kuwafunga? Kuwabambikia kesi? Kuwaziba midomo?CCM ni chama kinachobadilika kulingana na mazingira. Kinajikosoa na kubadilika.
cheap analysis! Kubadilika kuwaua wapinzani? Kuwafunga? Kuwabambikia kesi? Kuwaziba midomo?CCM ni chama kinachobadilika kulingana na mazingira. Kinajikosoa na kubadilika.
Upo sahihi kabisa.Atakuwa rais wa mitandao. Kama kurudisha kadi ilikuwa dili kisiasa, jama nchi ingezizima kwa wanaorudisha kadi. Aangalie tofauti yake na Seif Sharif Hamad alipohama chama.
Amekosea aana mahesabu yake.
Lowassa ametoa funzo. Membe alipaswa kujifunza kupitia historia ya mwaka 2015. Si wakati rafiki kwa Membe kugombea kupitia upinzani ambao hauna umoja.Membe ni amepiga hesabu kali kuliko Lowassa. Amesimama kama mbadala wa JPM ( alternative to) Amejiseti kwenye mteremko.
Unaweza kuthibitisha uliyoyaandika? Unaita cheap analysis huku wewe ukiandika cheap accusations.cheap analysis! Kubadilika kuwaua wapinzani? Kuwafunga? Kuwabambikia kesi? Kuwaziba midomo?
JPM hana mbadala, anapendwa na watu wengi, Wengi wanamwamini na kwa namna alivyoshughulika na Corona hili limempa credit sana tena sana, Kazi yangu inanikutanisha na watu wengi sana, kuna watu walikuwa wanampinga ambao ni Wapinzani Kinda kinda nimeshangaa sana kwa sasa huwaambii kitu.Membe ni amepiga hesabu kali kuliko Lowassa. Amesimama kama mbadala wa JPM ( alternative to) Amejiseti kwenye mteremko.
Goigoi mnamwita Jiwe? Hivi unavyoandika Jiwe maana yake Goigoi?Labda kama sijui kiswahili.Ugoigoi wa jiwe ndio unampa kiburi membe!!watakaompa kura ni wale waliochoshwa na jiwe!!vijana hawana ajira!wazazi wamesomesha hewa hakuna matunda!!udhalilishaji kina mama eti matiti yao ni Barakoa!!!
Just wait and see. Jiulize tu nini kilikuwa kinaenda kutokea uchaguzi SM pamoja na "mema" yote ya JPM. ukipata jawabu la hapo utajua WATZ wanataka nini...Fact check on the ground, JPM anaenda kushinda kwa kishindo. Wakati mgumu kwake ulikua 2015.
Nguvu ya umma ya kweli kweli haizuiwi na ubovu wa tume ya uchaguzi
Wewe nenda kasafishe vyumba huko LumumbaHesabu za Membe hazipo sawa sawa. Lowassa alifanya timing muhimu mno. Mwaka pekee ambao tungeshudia upinzani ukishika dola ulikua ni 2015. CCM ni chama kinachobadilika kulingana na mazingira. Kinajikosoa na kubadilika.
1. CCM ilikua imechukiwa na raia. Hivyo 2015 ilikua ni karata muhimu kuiondoa CCM madarakani...
Wewe haudhani kama haujui kiasi anachokubarikaNaungana na wewe MEMBE HAKUBARIKI KIASI ANACHODHANI
Hoja ya kishoga kabisa itakuwa ushagawahi kutawazwa na mama ako sio bureWapinzani wanaoshinda viti vya Ubunge wanashindaje? Kwa nini hiyo mbinu ya kushinda Ubunge isitumike kushinda kiti cha Uraisi?
Unadhani membe unamzidi uwezo wa kufikiria?Shida yake "Role model" anadanganyika na zile tweets na comments za kule Twitter.
Sasa kama jina lake halijulikani Unalalamika nini?Yule mnayemwita kachero sijui mbobezi nadhani hata hatumii akili.Sijui hata huo ukachero wake unamsaidia nini Membe kwa sababu anatajwa tu katika mikoa ya Dar,Pwani ,Lindi ,Mtwara labda na Ruvuma.Nikuhakikishie kwamba mikoa iliyobaki hata hilo jina hawajawahi kulisikia.Nenda Kilimanajro,Simiyu ,Shinyanga ,Geita ,Mara nk.ukilitaji jina la Membe watalishangaa.Hawajawahi hata kumsikia .labda kuna lingine analitafuta lakini siyo Urais.