Hesabu za Membe hazipo sawa sawa

Hesabu za Membe hazipo sawa sawa

Hesabu za Membe hazipo sawa sawa. Lowassa alifanya timing muhimu mno. Mwaka pekee ambao tungeshudia Upinzani ukishika dola ulikua ni 2015. CCM ni chama kinachobadilika kulingana na mazingira. Kinajikosoa na kubadilika.

1. CCM ilikua imechukiwa na raia. Hivyo 2015 ilikua ni karata muhimu kuiondoa CCM madarakani.

2. Lowassa alikua na umaarufu na uwekezaji mkubwa kwenye safari yake kuelekea IKULU. Sioni Membe akifika hata nusu za harakati za Lowassa.

3. Membe anakwenda kupambana na CCM iliyorudisha imani kwa raia. Anakwenda kukutana na siasa za Upinzani zilizogawanyika. Sitegemei ile spirit ya UKAWA kuwa live. Mwaka 2015 kulitokea kusalitiana. Vyama vya upinzani haviaminiani kirahisi.
Membe hana ushawishi, hata ACT- Wazalendo wanajua hilo. Lakini kuna mambo mawili ya kutafakari: 1. ACT wanataka wamtumie angalau kuwapa mbunge mmoja kule kusini. 2. Wanataka kumtumia ili kuwachokoza Chadema na baadaye kuisaidia CCM ( do not trust both Zitto & Maalim). Kwanza, ACT watahubiri coalition yenye kutaka Chadema na ACT wawe na mgombea mmoja ambaye ni Membe, na Chadema haitakuwa rahisi kuwakubalia, na ndipo wimbo wa kwamba Chadema ni wabinafsi na wapenda madaraka utaachiwa hewani ili kuwapaka matope CDM!
 
Endelea kuota
JPM hana mbadala, anapendwa na watu wengi, Wengi wanamwamini na kwa namna alivyoshughulika na Corona hili limempa credit sana tena sana, Kazi yangu inanikutanisha na watu wengi sana, kuna watu walikuwa wanampinga ambao ni Wapinzani Kinda kinda nimeshangaa sana kwa sasa huwaambii kitu.

Ukiondoa kelele za kwenye mtandao hamna mbadala.
 
Ugumu ambao upinzani unaenda kukutana nao ni dola tu hakuna kingine ccm kama ccm iliishakufa kitambo sana zaid kinachowasaidia kwa sasa Ni dola tu kama kuna anaebisha aje na facts haf waruhusu tume huru tuone kama watapata hata 30% ya kura
Umeisha hiyooo
 
Hesabu za Membe hazipo sawa sawa. Lowassa alifanya timing muhimu mno. Mwaka pekee ambao tungeshudia Upinzani ukishika dola ulikua ni 2015. CCM ni chama kinachobadilika kulingana na mazingira. Kinajikosoa na kubadilika.

1. CCM ilikua imechukiwa na raia. Hivyo 2015 ilikua ni karata muhimu kuiondoa CCM madarakani.

2. Lowassa alikua na umaarufu na uwekezaji mkubwa kwenye safari yake kuelekea IKULU. Sioni Membe akifika hata nusu za harakati za Lowassa.

3. Membe anakwenda kupambana na CCM iliyorudisha imani kwa raia. Anakwenda kukutana na siasa za Upinzani zilizogawanyika. Sitegemei ile spirit ya UKAWA kuwa live. Mwaka 2015 kulitokea kusalitiana. Vyama vya upinzani haviaminiani kirahisi.

Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Hivi mpaka sasa kuna threads ngapi mmeanzisha kujaribu kuonyesha Membe si lolote si chochote? Mbona hamumuongelei Nyalandu? Nae si alikuwa CCM?

Ukweli ni kwamba MNAMUHOFIA MNO MEMBE kwa sababu kuu mbili, moja ipo bayana nyingine haipo bayana. Iliyo bayana, UJASUSI wa Membe. Isiyo bayana, haijulikani wapi anapata ujasiri alionao. Na pengine cha kuongeza hapo ni haieleweki kwanini Magufuli anamuogopa Membe kiasi hicho.

Kinyago mmekichonga wenyewe sasa chawatisha 🤣🤣🤣
 
Zitto mwaka 2015 alibebwa na ccm.

1. Alipo pora chama cha act wazalendo kwa nguvu system ikamsaidia mahakamani.

2. Ubunge wa kigoma mjini system na akawa mbunge pekee wa act wazalendo.

3. Kesi zote za zitto huamuliwa na system.


4. Zitto aliye isaliti chadema ndio huyo huyo hata sasa hajabadilika.

5. Membe katumwa na ccm/system .

Membe 2025 atakua kama mrema kulambalamba viatu vya wana ccm.


Membe hana point yoyote ya kumshinda magufuli, alijilimbikizia mahoteli kule mtwara akisubiria mafao yake ya uporaji wa gasi.
Membe hana ushawishi, hata ACT- Wazalendo wanajua hilo. Lakini kuna mambo mawili ya kutafakari: 1. ACT wanataka wamtumie angalau kuwapa mbunge mmoja kule kusini. 2. Wanataka kumtumia ili kuwachokoza Chadema na baadaye kuisaidia CCM ( do not trust both Zitto & Maalim). Kwanza, ACT watahubiri coalition yenye kutaka Chadema na ACT wawe na mgombea mmoja ambaye ni Membe, na Chadema haitakuwa rahisi kuwakubalia, na ndipo wimbo wa kwamba Chadema ni wabinafsi na wapenda madaraka utaachiwa hewani ili kuwapaka matope CDM!
 
Mimi kwa mawazo yangu tu,Kama.ACT WAZALENDO wanataka kujiharibia Membe apitishwe kugombea urais,hawataamini kinachotokea.Wanaotoka
 
Mimi CCM damu damu. Napenda tume huru, napenda mihimili huru inayofanya kazi kwa weledi.

Kwa sasa ni ngumu sana upinzani kutoboa, nasema kushinda hata iwepo tume huru bado ni ndoto.

Hizi siasa zetu za mitandaoni zinazofanywa na wenye mtazamo chanya wanaoweza kung'amua mambo ni sehemu ndogo sana ya wapiga, na mbaya zaidi asilimia kubwa ya hawa waelewa huwa siku kupiga kura hawajitokezi kupiga kura.

Hata kama chama changu tawala kina kasoro zake kitapita tu maana wanaopiga kura ni watu wa kawaida, japo wengi wana maisha magumu ila wataenda kupiga kura kutokana na sifa wanazosikia bila ya hata kufahamu uhalisia wa sifa husika.
Yes, but pia Tuvuke na mipaka hadi Malawi, Zambia, Kenya... Kisha tulinganishe na hali ya tz. Chochote chawezekana. Even people in rural understand ...


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom