Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Ha ha ha ha!!!:thumb:

Nimekuletea chawa za simba maana nasikia ni dawa kali sana ya maenzi ukimpa eng.smash anatakuwa anakupenda mpaka analia machozi tu atakupenda ki mwaipopo. Achana na yule mganga wako wa kizamani anayevaa mayenu siku hizi.
 
Mbona sikumsikia anasema hayo bulaza??!!
Inawezekana yupo kimwili but kiroho yupo nami!! Usihofu enjoy kwa sana!!!

Pole kaka maana huyu mtoto kashakolea na hataki hata kukusikia mbona unaleta mbu kaka hakuna rufaa hapa pole we
 
Bora mwaya...ushikwapo shikamana!
Usije baadae ukasema ...ooohhh Mwenyekigoda alikuwa anabana nafasi ya kuzungumza na wandani wetu...ooohh alituzuwia tusiuze sura...kama mlishindwa iam out of blame!...nilitenda haki bana...right?

Yes you are out of blame, lakini wiselady hakunitendea haki jana, ingawa leo amejirekebisha kidogo
 
Du...Huyu WiseLady itabidi sasa niingilie kati nimwite ofisini kwangu kama Mwenyekigoda, ili nijue namna ya kumsaidia au kumpa ushauri-Nasaha, maana inaonyesha nyota yake ya MALAVIDAVI inang'aa mno...
Inabidi nisafiri nae hadi huko Koogwe Tanga ili wakapunguze makali ya nyota, vinginevyo nahofia hawa jamaa siku moja watamchana viwembe!

Kama hali nyenyewe ndo hii, itabidi nikusaidie kiongozi wangu kuondoa huu utata. Vinginevyo WL anaweza kuzua la kuzua kama tusipochukua hatua za haraka. Pls WL hebu nitafute haraka ili unijulishe whats going on.
Lakini pia unajua bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, na kweli katika hili WL ametesa vibaya, yani nyota yake ilikuwa juu sana jana, hadi mi mwenyewe nimekubali ingawa huu mvutano umenipa wasiwasi inabidi wazee wa kazi tuingilie kati.
Ila Preta wangu kimyaaa sijui alifichwa na nani, kweli fimbo ya mbali haiui nyoka. Pamoja na kutoa ng'ombe na kuua nyani lakini wapi bwana maumivu yako pale pale. Kila nikijaribu kumvutia waya naambiwa "ze namba ur calling iz not richabo".
 
Yes you are out of blame, lakini wiselady hakunitendea haki jana, ingawa leo amejirekebisha kidogo
Kiongozi wangu,
Kama alikufanyia kosa hilo jana tayari ameshaniharibia siku yangu....Bora angemfanyia hivyo yule nanihiino wake Mwita Maranya, lakini kwa wewe hapana.
Itabidi baadae nimkalishe kama kamati ya usuluhishi ili nijue chanzo cha yeye kukununulia Serengeti "The Kick", kumbe nia yake ni kuondoka na Chipukizi....aisee,.... halafu kumbe simba mwenda kimya ndio mla nyama,... Chipukizi huyu, unaweza usimdhanie kabisa kwa kumwangalia, sijui ni saa ngapi walipeana signal!!
Usimkubali kwanza broda, mpaka niwepo mimi, maana niliona live wanavyoondoka, na mbaya zaidi walielekea pande za Ngaramtoni, nadhani waliingia pale Motel-2000.
 
Kiongozi wangu,
Kama alikufanyia kosa hilo jana tayari ameshaniharibia siku yangu....Bora angemfanyia hivyo yule nanihiino wake Mwita Maranya, lakini kwa wewe hapana.
Itabidi baadae nimkalishe kama kamati ya usuluhishi ili nijue chanzo cha yeye kukununulia Serengeti "The Kick", kumbe nia yake ni kuondoka na Chipukizi....aisee,.... halafu kumbe simba mwenda kimya ndio mla nyama,... Chipukizi huyu, unaweza usimdhanie kabisa kwa kumwangalia, sijui ni saa ngapi walipeana signal!!
Usimkubali kwanza broda, mpaka niwepo mimi, maana niliona live wanavyoondoka, na mbaya zaidi walielekea pande za Ngaramtoni, nadhani waliingia pale Motel-2000.

Unaona eeh!! lakini kiongozi usinipimie kihivyo, sie wengine hatupigi makelele kabla ya kumaliza kazi.
Kamanda wangu Asprin sijui yuko wapi, anajua sisi ni "slow but sure". Halafu raha ya mwanamke umpate kwenye ushindani, sio kushika mkono tu tayari. Ila wasiwasi wangu ni kwamba hawa vijana kwa mwendo huu wanaweza kuua bendi mapemaaaa!!sijui ndo wanafanya Practical training!!:teeth:
 
Kiongozi wangu,
Kama alikufanyia kosa hilo jana tayari ameshaniharibia siku yangu....Bora angemfanyia hivyo yule nanihiino wake Mwita Maranya, lakini kwa wewe hapana.
Itabidi baadae nimkalishe kama kamati ya usuluhishi ili nijue chanzo cha yeye kukununulia Serengeti "The Kick", kumbe nia yake ni kuondoka na Chipukizi....aisee,.... halafu kumbe simba mwenda kimya ndio mla nyama,... Chipukizi huyu, unaweza usimdhanie kabisa kwa kumwangalia, sijui ni saa ngapi walipeana signal!!
Usimkubali kwanza broda, mpaka niwepo mimi, maana niliona live wanavyoondoka, na mbaya zaidi walielekea pande za Ngaramtoni, nadhani waliingia pale Motel-2000.

Na kama waliingia pale motel 2000, nitajua tu, maana nina nusanusa wangu pale.
 
Kama hali nyenyewe ndo hii, itabidi nikusaidie kiongozi wangu kuondoa huu utata. Vinginevyo WL anaweza kuzua la kuzua kama tusipochukua hatua za haraka. Pls WL hebu nitafute haraka ili unijulishe whats going on.
Lakini pia unajua bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, na kweli katika hili WL ametesa vibaya, yani nyota yake ilikuwa juu sana jana, hadi mi mwenyewe nimekubali ingawa huu mvutano umenipa wasiwasi inabidi wazee wa kazi tuingilie kati.
Ila Preta wangu kimyaaa sijui alifichwa na nani, kweli fimbo ya mbali haiui nyoka. Pamoja na kutoa ng'ombe na kuua nyani lakini wapi bwana maumivu yako pale pale. Kila nikijaribu kumvutia waya naambiwa "ze namba ur calling iz not richabo".

huyu WL vipi? Yaani tena kuna mwingine?
 
Kama hali nyenyewe ndo hii, itabidi nikusaidie kiongozi wangu kuondoa huu utata. Vinginevyo WL anaweza kuzua la kuzua kama tusipochukua hatua za haraka. Pls WL hebu nitafute haraka ili unijulishe whats going on.
Lakini pia unajua bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, na kweli katika hili WL ametesa vibaya, yani nyota yake ilikuwa juu sana jana, hadi mi mwenyewe nimekubali ingawa huu mvutano umenipa wasiwasi inabidi wazee wa kazi tuingilie kati.
Ila Preta wangu kimyaaa sijui alifichwa na nani, kweli fimbo ya mbali haiui nyoka. Pamoja na kutoa ng'ombe na kuua nyani lakini wapi bwana maumivu yako pale pale. Kila nikijaribu kumvutia waya naambiwa "ze namba ur calling iz not richabo".

nipo la aziz....kinachonisibu mpaka sasa ni kwamba....sijui leo ni lini, na ni nini kinaendelea mpaka sasa hapa ndani.....
 
Kiongozi wangu,
Kama alikufanyia kosa hilo jana tayari ameshaniharibia siku yangu....Bora angemfanyia hivyo yule nanihiino wake Mwita Maranya, lakini kwa wewe hapana.
Itabidi baadae nimkalishe kama kamati ya usuluhishi ili nijue chanzo cha yeye kukununulia Serengeti "The Kick", kumbe nia yake ni kuondoka na Chipukizi....aisee,.... halafu kumbe simba mwenda kimya ndio mla nyama,... Chipukizi huyu, unaweza usimdhanie kabisa kwa kumwangalia, sijui ni saa ngapi walipeana signal!!
Usimkubali kwanza broda, mpaka niwepo mimi, maana niliona live wanavyoondoka, na mbaya zaidi walielekea pande za Ngaramtoni, nadhani waliingia pale Motel-2000.

najua vile ntafanya,,,umezidi sasa kha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom