Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Hellow JF! Mambo iko Tarangire

@ Saharavoice acha wivu inaelekea Kimey alipanda dau zaidi.. Haku tikisika mpaka muda wa mwisho...
 
dah! Siku ya jana imeweka mark kny maisha yangu,,nitaikumbuka cku zote!nakosa maneno mazuri ya kusema ila kifupi nilfurahi,,,,safari iko pale pale tutawasiliana

Ya kwenda wapi tena jamani? Mbona unataka kuniliza? mi.nilikuwa nakuatania tu usikasirike hivyo tutayaongea kinyumbani yatamalizika usinde no huyo tena ntatulia nakuahidi hapa mkononi nina maua yako.
 
@ Saharavoice acha wivu inaelekea Kimey alipanda dau zaidi.. Haku tikisika mpaka muda wa mwisho...

Kimey alidhiti kisawasawa na ndg.yako alikuwa mpole mpaka nikamwonea huruma nikampa FL.wa maukweli akaona muziki mkubwa akaaga zake kwenda home na H. Method akapandisha bendera ya ushindi.
 
Kimey alidhiti kisawasawa na ndg.yako alikuwa mpole mpaka nikamwonea huruma nikampa FL.wa maukweli akaona muziki mkubwa akaaga zake kwenda home na H. Method akapandisha bendera ya ushindi.

Bendera ipi alipandisha wakati aliniletea nyumbani mwenyewe tena kwa escort ya nguvu.

Kimey alishindwa ndo maana kakimbia mji leo asubuhi
 
Halafu mi nahama huku sio kwangu, nimedandia treni kwa mbele

Wapi!? hapa utarudi tu na huko unakokwenda tutakutana tu kaka ila roho inaniuma kama WL alikuja kwako maana nilimwacha huku naangalia nyuma.
 
images


Nawaona wakuu ila mm Preta alinibania, kila mara nilipopiga simu ilisema "mteja unayempigia anahudumia mauhusiano yake kwa sasa tafadhali piga baada ya masaa 24 watakuwa wamemaliza" ikabidi nirudi rombo kwetu


Hivi huyu kushoto alieuchapa ni nani? au ndio Teamo

images
 
Wapi!? hapa utarudi tu na huko unakokwenda tutakutana tu kaka ila roho inaniuma kama WL alikuja kwako maana nilimwacha huku naangalia nyuma.

Ni leo tu nakaa hapa, kesho hunioni, labda WL anibembeleze sana baadaye nikirudi home
 
Bendera ipi alipandisha wakati aliniletea nyumbani mwenyewe tena kwa escort ya nguvu.

Kimey alishindwa ndo maana kakimbia mji leo asubuhi
Hahaha nikimbie mji? Nipo na my wiselady hapa anikanda wakati supu inachemka jikoni!
 
@ Saharavoice acha wivu inaelekea Kimey alipanda dau zaidi.. Haku tikisika mpaka muda wa mwisho...
Waambie hao mamaa hawana lolote! Mi na wiselady mpaka kifo.
 
Hahaha nikimbie mji? Nipo na my wiselady hapa anikanda wakati supu inachemka jikoni!

Hata cjaiona hii na kama ni kweli mchango wangu ni kufunga mdomo zaidi.

Kimey hebu waamshe hao waambie nawamic mbaya kabisa
 
Hata cjaiona hii na kama ni kweli mchango wangu ni kufunga mdomo zaidi.

Kimey hebu waamshe hao waambie nawamic mbaya kabisa
Habari yake Derimto! Hapa wote ni hangover tu! Kuamka jioni.
 
Nilikuwa sijapata net but now nimekaa vizuri nakuletea vingine vizuri ambavyo ni vya masharti nafuu maana si unajua kuwa shehe Yahaya hussen amefukuzwa moroni atakupunguzia bei uwe kama mkwere utashinda mama

Hahaaa mi sivitaki vya mshariti nafuu nataka hivyo hivyo nilivyotuma, usiniambie unaogopa kuniletea, nikiasi cha kumkamata simba unamtanua mdomo then unakata, hata rhino usimuogope sawa eeh.
 
Pole kaka maana huyu mtoto kashakolea na hataki hata kukusikia mbona unaleta mbu kaka hakuna rufaa hapa pole we

Uwiiiii nakufaa mieeeee mh nishanga hizo ndo mnagombania kununua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom