Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Unaona eeh!! lakini kiongozi usinipimie kihivyo, sie wengine hatupigi makelele kabla ya kumaliza kazi.
Kamanda wangu Asprin sijui yuko wapi, anajua sisi ni "slow but sure". Halafu raha ya mwanamke umpate kwenye ushindani, sio kushika mkono tu tayari. Ila wasiwasi wangu ni kwamba hawa vijana kwa mwendo huu wanaweza kuua bendi mapemaaaa!!sijui ndo wanafanya Practical training!!:teeth:

Mura unachokosa unataka kureta machembe muchini kuja kurima rami! Nimenyamasa sana naona unataka kuua nyoka na fimbo ya mbali pole sana utaumia sana ukishindana na mimi kaka hawa watoto kuna vitu fulani wanataka kwenye maloveee na hapa ni kisimani wanazunguka karibu kabissa na hawachezi mbali nami
 
Pole sweet heart wangu, missin' you sana. Lakini haya yote uliyataka mwenyewe, uliona bora uzime simu ili kunipandisha presha bahati mbaya kwako Derimto na wenzake wakakuchanganyia ukwaju wa tanga kwenye asali basi ukapoteza network kabisa.

Anyway, kwakuwa network ndo imeanza ku-search kuwa mtulivu kidogo, sasahivi nitakuvutia waya nikujulishe leo ni siku gani na nini kinachoendelea.

Ukimaliza utaniambia maana tuna mtoko naye wa jioni mi na Preata tukiwa pamoja huwa tuna ka dunia ketu hakuna hata mbu wala mbung'o
 
Derimto alienda kulala mapema akatuacha wavumilivu!

Ni ukweli haswaaa ila si unajua nilizingatia ushauri wa mama Preta kulingana na ratibu iliyokuwa inafuata ilibidi niwatoke kidogo na kwenda kumsikiliza Babe! Wakina mwita wasije kunichakachulia
 
Pls PRETA usikubali kuvaa SHANGA hizo kuna nyingine nzuri zaidi zipo!!!
Nakuja nazo leo nipo na GUTA langu njiani 2tamit huko mida ya jion!!

mbona hufiki....zile za Derimto zishakatika
 
Ni ukweli haswaaa ila si unajua nilizingatia ushauri wa mama Preta kulingana na ratibu iliyokuwa inafuata ilibidi niwatoke kidogo na kwenda kumsikiliza Babe! Wakina mwita wasije kunichakachulia

teh teh....halafu wewe.....subiri kwanza
 
Ni ukweli haswaaa ila si unajua nilizingatia ushauri wa mama Preta kulingana na ratibu iliyokuwa inafuata ilibidi niwatoke kidogo na kwenda kumsikiliza Babe! Wakina mwita wasije kunichakachulia

Aminia kaka! Sikujua Mpango mzima
 
Kijana kumbuka kuwa na heshima na adabu kwa mke wa mtu.
Huyo shosti nimetoka kuchinja nyani juzi kati tu pale yaeda chini halafu wewe unaanza kutafuta network!
Preta usije kunisaliti na hivi vitrip vya siku moja Tarangire, mwenyewe unajua Serengeti ilivyojaa maajabu.

siwezi kukusaliti kabisa.....Tarangire ni bustani tu, Serengeti ndio mbuga halisi tena ya nyumbani, hata tukikosa mboga tuna uhakika wa kimolo..........kwa ajili ya hiyo kukusaliti ni ngumu
 
mbona hufiki....zile za Derimto zishakatika

Tunaziunga jioni mama tulia achana na wivu huyo Eng. Atakuletea hirizi bure ukaanza kuota ingawa Yaeda ni mbali simwamini sana huyu jamaa maana nasikia ni mndamba wa moro
 
siwezi kukusaliti kabisa.....Tarangire ni bustani tu, Serengeti ndio mbuga halisi tena ya nyumbani, hata tukikosa mboga tuna uhakika wa kimolo..........kwa ajili ya hiyo kukusaliti ni ngumu

Si unaona sasa maana tayari umeshapuliziwa mambo fulani harafu wewe mura mwwita !!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani mbona maneno matupu tu hakuna hata picha? Natamani nione mlivyoinjoy
 
Wiselady zidisha maombi.Huko Tarangire kuna mbwamwitu wakali sana.Vipi The Finest naye yupo?

mtumishi maombi yalienda vema na finest alikuwepo sambamba na agano jipya yake,,,usiwe unakaa sana mlimani waumini wamenizidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom