Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Hellow JF! Mambo iko Tarangire

mtumishi maombi yalienda vema na finest alikuwepo sambamba na agano jipya yake,,,usiwe unakaa sana mlimani waumini wamenizidi

Niaje chaliii yangu nawasalimia kwa jina la baba na la mwana na la.......Naomba nisalimie wafuatao Derimto, hmethod, Preta, SaharaVoice, Loner, Wiselday, LilyFlower
 
Niaje chaliii yangu nawasalimia kwa jina la baba na la mwana na la.......Naomba nisalimie wafuatao Derimto, hmethod, Preta, SaharaVoice, Loner, Wiselday, LilyFlower

hapo kny red pana utata,,,ameghairi baada ya kuona fimbo ya mbali......
 
hapo kny red pana utata,,,ameghairi baada ya kuona fimbo ya mbali......

ha ha ha ha ha unajua nilikuwa nimepewa majukumu na babu mkaguzi nimlinde memba tuliyekuja naye asije akakaguliwa aweze kurudi salama ndio maana i was working both ways
 
Unajifanya haujaona swali langu kwenye red btw hivi ZD yuko wapi bana hata kama mlimani sio hivyo duh mwambie anataka kuwa PAPA nini

swali nimelichinjia baharini umezidi unoko,,,zd nahs anataka kuwa malaika au wamejenga vibanda mlimani wako na pope
 
Duh!!! Hadi za kuunga mbona nyingi mjini ununue nyingine??
Hivi MORO panafananaje coz huwa napita 2!!!

Tunaziunga jioni mama tulia achana na wivu huyo Eng. Atakuletea hirizi bure ukaanza kuota ingawa Yaeda ni mbali simwamini sana huyu jamaa maana nasikia ni mndamba wa moro
 
Oooooh!! Nashindwa kuelewa zimekatika vipi??!!
Kulikuwa na shughuli gani hiyo??!!
Mmh!!zitakuwa za kichina hizo, nipo mjini MAMA usihofu ninazo ORIGINAL lakini nahofia MAISHA yangu!!
MWITA upo wapi kwanza??!!

mbona hufiki....zile za Derimto zishakatika
 
Nawasalimu wote, nimewakosa sana. Mwaka mpya twendeni serengeti nini?
 
Niaje chaliii yangu nawasalimia kwa jina la baba na la mwana na la.......Naomba nisalimie wafuatao Derimto, hmethod, Preta, SaharaVoice, Loner, Wiselday, LilyFlower

Jamani hapo kwenye nyekundu mimi imenipa raha sana... Nimefurahi kuona Finest umefika salama na umerudi jamvini....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom