Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Dah mm nipo mzima kabisa

Ngoja tuwaombee hao wa mbugani wasije furumishwa na Simba bure

Sipati picha Wiselady ukitolewa baru na fisi sijui utakimbiaje?

Mkubwa kuna visa vya tembo kuna watu wamelowanisha nguo zao na pj. Amewahifadhi maana Preta alitaka kuzimika baada ya tembo kutaka kulikunja gari kama karatasi watu walikuwa kimya kama wako ibadani
 
Kujitolea ni issu sana mkikutana na SIMBA kalala basi moja ajitole kumuamsha...

Leo tUlikuwa na bahati ya kuwaona simba wengi kama mbuzi kama mara nane hivi na ndiye mnyama wa kwanza kumwona Preta anasubiri atulie aanze kuzirusha picha zote za matukio
 
Kujitolea ni issu sana mkikutana na SIMBA kalala basi moja ajitole kumuamsha...

hey loner, haututakii mema eeh? yaani 2mekutana na simba kama 50 hv wameziba njia. ilibidi tupige simu kwa jamaa wa game!...kilichotokea kwa baadhi ya members baada ya tukio hilo nitawasimulia.
 
Kijana kumbuka kuwa na heshima na adabu kwa mke wa mtu.
Huyo shosti nimetoka kuchinja nyani juzi kati tu pale yaeda chini halafu wewe unaanza kutafuta network!
Preta usije kunisaliti na hivi vitrip vya siku moja Tarangire, mwenyewe unajua Serengeti ilivyojaa maajabu.

Pole kaka maana kumbuka fimbo ya mbali haiuwi nyoka mtoto kaniegamia hapa anapumzika kidogo we endelea kumwaga dua kuku huko halafu ulikuja A.Town nilikuwa Dar hivyo kwa sasa mimi nimeshika mpini na wewe umeshika makali pole sana
 
Msisahau kuniletea ulimi wa simba mganga wakienyeji kanituma na macho ya Rhino.

imetekelezwa km ulivyoomba, teamo, finest, kimey, kaizer na st rr na wengine kbao wametujoin so watakuletea hizo maneno.
 
Derimto hebu nichekie mama wa busara hapo nilikupa unilindie

mama wa busara mkuu wangu yuko full booked hadi 'nyu-yia'. lkn usijali yupo dada loner anakuuliziaga sn. hv huwa unam'dipudipu' sana na simu yako nini?
 
Dear JF members tunamshukuru Mungu tumetoka salama mbugani bila kwere wala Mwita Maranya I miss u 2 I wish ungekuwepo leo, naona kuna members wanamiss Wise Lady na Derimto cjui tumewaacha getini? PJ du ze nidiful.
 
hey loner, haututakii mema eeh? yaani 2mekutana na simba kama 50 hv wameziba njia. ilibidi tupige simu kwa jamaa wa game!...kilichotokea kwa baadhi ya members baada ya tukio hilo nitawasimulia.
heheeeeeeee...

usiniambie n'tu kapumulia eksozi pipe, nawatamania kweli ndugu zangu

basi tu
 
Ebwanaee, kumbe hii kitu ni leo! mi nilishasahau kabisa, mbona hukunikumbusha rafiki? nitumie picha basi.

mkuu ile ishu ndo inaendelea mida hii. ni full blast mkuu, na imekuwa success kshenzi...si unajua yale mambo yetu mkuu?
 
imetekelezwa km ulivyoomba, teamo, finest, kimey, kaizer na st rr na wengine kbao wametujoin so watakuletea hizo maneno.
Mkuu nikamatieni vile vijamaa vyenye kengele za bluu, naskia ukimpata yule mambo yote shega
 
Dear JF members tunamshukuru Mungu tumetoka salama mbugani bila kwere wala Mwita Maranya I miss u 2 I wish ungekuwepo leo, naona kuna members wanamiss Wise Lady na Derimto cjui tumewaacha getini? PJ du ze nidiful.

of course lilyflower, you know me ooooh...you know what i alwayz do oooh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom