kuja nitakuja atakapojalia Maanani,sikuweza kuwa nawe kwa sbb zilizo nje ya uwezo wangu,lkn inshaalah one day yes!Yote tumuachie Mungu atatuwezesha kukutana hata kama sio ktk xmas.alhamduli llah,,, khofu yangu kwako tuu,,,mi nilijua utakuja nikakupeleke kwenye more expensive xmass tree in the world abudhabi,,,, lakini ulinisusa na mazuri ukayakosa lakini nimekuekea zawadi ya neckless ya dhahab,, ukIja utaipata iko kwa ajili yako...nakusubiri sikati tamaa...
Mmh!😛lane:
haikupangwa iwe hivyo lkn ukija jijini usinisahau hata kwa ofa ya maziwa mtindi.Nina hamui na wewe nilikukosa ulipokuja Arusha habari zako zinaniwasha masikio ila siku sii nyingi ntakuwa hapo jijini ntajisevia kwa raha zangu Preta naomba usiangalie hii
Nimemnunulia Preta shanga za kiunoni maeneo ya makuyuni lakini Wiselady na Liliflower wameninunia na saharavoice ameanza wivu ila liliflower ameonyesha utu uzima hana wivu ana mapenzi ya kiisilamu zaidi yaani utamu zaidi ni kuwa wakaozaliwa kwenye hizi camp. Ni raha tu
Jamani kitanda hakizai haramu chondechonde na maneno yenu!
Vipi dogo mzima?
Nimemnunulia Preta shanga za kiunoni maeneo ya makuyuni lakini Wiselady na Liliflower wameninunia na saharavoice ameanza wivu ila liliflower ameonyesha utu uzima hana wivu ana mapenzi ya kiisilamu zaidi yaani utamu zaidi ni kuwa wakaozaliwa kwenye hizi camp. Ni raha tu
Jamani kitanda hakizai haramu chondechonde na maneno yenu!
Aisse mnanitia wivu tu... Kamateni Zebra ili tupate nyama choma basi.... Havu funi every bodi..
Mami hujambo, na wazazi je? Hivi ni macho yangu au umeomba mtindi hapa? Presha inapanda ajabu.haikupangwa iwe hivyo lkn ukija jijini usinisahau hata kwa ofa ya maziwa mtindi.
JF ni zaidi ya key board bana!
Hahaha bado nipo Kapongo Bar&Guesthouse uliponiacha jana!Habari yako bana? Upo bar gani ?
Naona Posted via Mobile
kuja nitakuja atakapojalia Maanani,sikuweza kuwa nawe kwa sbb zilizo nje ya uwezo wangu,lkn inshaalah one day yes!Yote tumuachie Mungu atatuwezesha kukutana hata kama sio ktk xmas.
mama weee ninavyopenda dhahabu lazima nikwee pipa nije 'dubei'.asante shosti wangu.