Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Hellow JF! Mambo iko Tarangire

Aisse mnanitia wivu tu... Kamateni Zebra ili tupate nyama choma basi.... Havu funi every bodi..
 
alhamduli llah,,, khofu yangu kwako tuu,,,mi nilijua utakuja nikakupeleke kwenye more expensive xmass tree in the world abudhabi,,,, lakini ulinisusa na mazuri ukayakosa lakini nimekuekea zawadi ya neckless ya dhahab,, ukIja utaipata iko kwa ajili yako...nakusubiri sikati tamaa...
kuja nitakuja atakapojalia Maanani,sikuweza kuwa nawe kwa sbb zilizo nje ya uwezo wangu,lkn inshaalah one day yes!Yote tumuachie Mungu atatuwezesha kukutana hata kama sio ktk xmas.
mama weee ninavyopenda dhahabu lazima nikwee pipa nije 'dubei'.asante shosti wangu.
 
Nina hamui na wewe nilikukosa ulipokuja Arusha habari zako zinaniwasha masikio ila siku sii nyingi ntakuwa hapo jijini ntajisevia kwa raha zangu Preta naomba usiangalie hii
haikupangwa iwe hivyo lkn ukija jijini usinisahau hata kwa ofa ya maziwa mtindi.
 
Nimemnunulia Preta shanga za kiunoni maeneo ya makuyuni lakini Wiselady na Liliflower wameninunia na saharavoice ameanza wivu ila liliflower ameonyesha utu uzima hana wivu ana mapenzi ya kiisilamu zaidi yaani utamu zaidi ni kuwa wakaozaliwa kwenye hizi camp. Ni raha tu

Jamani kitanda hakizai haramu chondechonde na maneno yenu!

Haya yangu macho.
 
Haaaaaaa nadhani wewe ndo ulifaa kuitwa mchakachuaji.
 
Msisahau kuniletea ulimi wa simba mganga wakienyeji kanituma na macho ya Rhino.
 
Derimto hebu nichekie mama wa busara hapo nilikupa unilindie
 
Ngoja nichukue flight hapa mara moja niwai kuona shanga za Preta! Lol
 
Pls PRETA usikubali kuvaa SHANGA hizo kuna nyingine nzuri zaidi zipo!!!
Nakuja nazo leo nipo na GUTA langu njiani 2tamit huko mida ya jion!!

Nimemnunulia Preta shanga za kiunoni maeneo ya makuyuni lakini Wiselady na Liliflower wameninunia na saharavoice ameanza wivu ila liliflower ameonyesha utu uzima hana wivu ana mapenzi ya kiisilamu zaidi yaani utamu zaidi ni kuwa wakaozaliwa kwenye hizi camp. Ni raha tu

Jamani kitanda hakizai haramu chondechonde na maneno yenu!
 
Petra mbona kimya! haya jamani salimieni Malaria Sugu lol! enjoy the trip!
 
Aisse mnanitia wivu tu... Kamateni Zebra ili tupate nyama choma basi.... Havu funi every bodi..

Hebu ngoja loner tulia kwanza tuko busy ncha kali anamsogeza tembo maana wamevunja miti barabarani swali na ngiri wamezidi sana kuna swali kaniuliiza preta hapa pembeni yangu kama mbuni hawa waliozagaa hapa wanazingatia uzazi wa mpango wana watoto wengi hatujawahi kuona tena
 
Wiselady usisahau paja la mwewe tu mm nalitaka jamani.
 
kuja nitakuja atakapojalia Maanani,sikuweza kuwa nawe kwa sbb zilizo nje ya uwezo wangu,lkn inshaalah one day yes!Yote tumuachie Mungu atatuwezesha kukutana hata kama sio ktk xmas.
mama weee ninavyopenda dhahabu lazima nikwee pipa nije 'dubei'.asante shosti wangu.

Ukipitia hapo Abuu Dhabi mm kanzu na barakashia usinisahau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom