Kimey natumaini hauko balcony usije ukaanza mambo ya Midway
duh, kumbe humu kuna oportunity mpaka za utalii? just count me present mwakani. kwa kweli napenda sana kutembelea vivutio vya utalii
Nataka nifahamu kwanza ni kimiminika gani anatumia! Kama ni ile yetu, tunaenda nae hata Tanga!
Una maanisha ndyofu ???
Mimi nachoka kabisa Preta pembeni na ila nachoka kugeuza shingo nyuma pamepambwa na Lili Flower, Wiselady,Pj.chipkizi yaani watu kibao gari limepambwa na marafiki wa ukweli familia ya upendo hatujali itikadi wala dini ya mtu utadhani tumezaliwa pamoja kuna upendo wa ajabu sana natamani kama tanzania nzima tungekuwa huku muziki wa kutosha vinywaji mwake kwenye gari vitafunwa story mpaka tunapeana zamu kwa kunyoosha vidole kuchangia.
Raha mustarehe jamani
weraweraaaaa. wadau ile siku yetu ndo imefika...caravan ndo linaingia tarangire. ni balaa 2pu njiani.