Heche: UDSM wamezuia kongamano la DUPSA mjadala

Heche: UDSM wamezuia kongamano la DUPSA mjadala

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Anandika John Heche kuwa;

"Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi.

Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano.
Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa".
1768204829207.png
 
Wananchi wanataka maendeleo sio mijadala
 
Hakuna nafasi ya kujadili mambo ya kihuni.Baada ya kwenda Mwembe Yanga huko au Tanganyika packers huko!
Unajua maana ya uhuni wewe?
kuna uhuni zaidi ya kumfungia mwalimu kwenye KACHUMBA iLI ATIKI kwa MGOMBEA wa CCM na baadae kujitangaza mshindi tene akiwa mbugani jeshini huko NGERENGERE?
Huu ndiyo uhuni tena wa kishamba.
kuna uhuni zaidi ya Kukusanya MAMA LISHE na wabeba mizigo na KUWAITA WAKATORIKI ati wanaandamana kwenda vatican?
 
Ameandika John Heche kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram leo Januari 12, 2025 "Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi. Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano. Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa… Shame!"​

Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi.Wakati UDASA wana konga.jpg
 
Anandika John Heche kuwa;

"Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi.

Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano.
Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa".

..Odemba awaite kwenye kipindi chake wakafanye huo mdahalo. Watawafikia watu wengi zaidi. Lakini pia ingefaa wawashirikishe Ccm, au vile vyama vibaraka vya Ccm.
 
Anandika John Heche kuwa;

"Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi.

Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano.
Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa".
Dictators ni waoga sana!
 
Anandika John Heche kuwa;

"Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi.

Wakati UDASA wana kongamano lao leo, Dupsa walinialika pia kwa kongamano.
Ajabu ni kwamba sehemu ambayo Inatakiwa kuwa chimbuko la fikra na mawazo wamezuia kongamano hili dakika za mwisho kabisa".
Wangalienda MUM yaani Morogoro University of Muslim Upo ukumbi mzuri tu
 
Nchi inaongozwa na Mjinga Samia, ndiyomaana mambo yote yanakwenda kijingakijinga
 
Back
Top Bottom