Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 71,205
- 127,206
Uko sahihi maana ukweli utakaoongelewa hapo ni mwiba kwa majizi ya kura na wauaji. Sioni ajabu kwa hatua hii, tawala zote zilizokuwa zinaenda kuanguka zilikuwa zinazuia hivihivi mafuriko kwa mikono.Wamefanya vyema kuzuia hilo kongamano. Naipongeza UDSM.