ccm bila Polisiccm watesi wakuu wa upinzani huwa ccm hawana ujanja ni weupe sanaCHADEMA shikilieni msimamo huo huo.! Hakuna kurudi nyuma!
ccm bila Polisiccm watesi wakuu wa upinzani huwa ccm hawana ujanja ni weupe sanaCHADEMA shikilieni msimamo huo huo.! Hakuna kurudi nyuma!
Ukisema hivi mbele ya Mama anaweza akakutandika makofi.Kuifuta CHADEMA ni kama kumsukuma mlevi maana ilishajifia🐼
Msajiliccm kwanza kavuka umri wa utumishi alishasitaafu lakini yupo ofisini kwa njia haramu za kishetani, chadema itashinikiza atoke ofisini mda wake ulikwisha kitamboMsajili amtengue mama Abdul aliyejipitisha huko Lumumba kwa mlango wa nyuma.
Msajili kasema itisheni baraza akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche acha kupotosha.Usimlishe msajili ambayo hakusema
Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
Msajiliccm ni kada wa ccm hana vigezo vya kuwa Msajili kwa sasa yafaa afukuzwe kazi kwani hata Umri wake ni mkubwa sanaNdo ukweli wenyewe, msajili anaona tu ya chadema ila ccm haoni.
Niliwahi andika hapa jf kumtaka msajiri kukifuta chama cha ccm ,moderator ,pandisha huzi huu tafadhali.
Msajili anatakiwa acha wenge .basi akifute chama cha chadema
ilikuwepo KANU ya kenya lao kipo wapi? Senegal, Zambia, Ghana walifanya makubwa sasa ni zamu ya Tanzania umma kumkataa Msajiliccm mpaka apatikane Msajili mpyaCHADEMA isikubali kutumbishwa na huyo takataka! Hakuna kuitisha Baraza Kuu la Chama, Viongozi waendelee kubaki wale wale.
Hata chama tawala Cha Afrika Kusini Cha ANC kiliwahi kutangazwa kuwa eti ni Kundi la Kigaidi na Utawala wa Makaburu nchini humo baada ya Utawala wa Makaburu kuona kwamba ANC ilikuwa inakaribia kuchukua madaraka katika nchi hiyo. Licha ya kwamba ANC ilitangazwa kuwa ni Kundi la Kigaidi, bado Wananchi wengi zaidi waliendelea kuiunga mkono hadi ilipoingia Ikulu
Hayo maneno mwambie mamayao mzaziMkutano ndio wenye mamlaka yote na vikao vyote waweza amua lolote na baraza lenu kuu ndio mamlaka ya mwisho kuamua chochote
Cha msingi akidi itimie .Msajili hapo anachowadai ni akidi kutimia
Anajua kikao chenu cha baraza kuu ndicho kikao cha juu kabisa kama kilivyo cha CCM
Tatizo liko kwenye Akidi.Itisheni kikao cha baraza kuu amueni chochote kitakuwa halali hata kama huko chini hiyo agenda haikuwepo kitakuwa halali
Akidi isipotimia maamuzi yote yanakuwa feki iwe uteuzi wa wajumbe kamati kuu au chochote. Hiyo ndio meseji msajili kawaambia in a very polite but serious language
Itisheni baraza kuu na mhakikishe akidi inatimia hizo porojo zenu mnapoteza muda muda sio rafiki
Mtakuja jikuta munekuwa suprised CHADEMA imefutiwa usajili
Tukiwashauri muwe mnaelewa kama huko CHADEMA hamna waelewa
Cha kushangaza wanaigwaya kila kukichaKuifuta CHADEMA ni kama kumsukuma mlevi maana ilishajifia🐼
Sasa si ndio wakifute. Au ww hupendi CHADEMA ifutwe??!!Mkutano mkuu wa CCM ndio kikao kikuu cha maamuzi yeyote akidi ilitimia baraza kuu fanya maamuzi hicho chenu cha baraza kuu kilikuwa halali kabisa ila akidi ya kuwapitisha hao wajumbe wenu haikutimia.
Itisheni baraza kuu akidi itimie kisha pitisheni wawe hao hao au wengine wapya hayo ya kwenu
Msajiliccm hafanyi kazi kwa mjibu wa sheria bali hufanyi kwa mjibu wa Amri haramu za kishetani toka toka ccmAtengue na uteuzi wa Samia huko CCM alikojiteua tuone kweli anafanya kazi
Na ccm akifanye kikundi cha kigaidi.Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Panapokuwa na double standards kwenye utekelezwaji wa sheria njia kama hizi ni lazima zitumike.Sio ajabu kwa Heche kutoiona hatari ya kukaidi maagizo ya msajili. Ni kiongozi asieijua hata katiba ya chama chake. Alizoea kupelekeshwa na mawazo ya Lissu.
Kaongee hivi mbele ya Wasira kama hajakulima makofi. Mzee wa watu kila siku anaumiza kichwa we unasema Chadema kwisha kazi.Kweli CHADEMA kwisha kazi, waache wagawane mbao. Tuliwaambia wamepa UWENYEKITI Lissu mropokaji na u-Makamu Heche mtu wa jazba.