Ushauri wako mbovuHeche shikilia hapohapo Muraaa ,ifike mahali sheria ziheshimike sio kuamuliana tu nani awe nani na kipi kiwe namna gani ,No .
Vita ni vita muraaaa
Toolate Bunge lote la Ulaya na UK wanajua kinachoendelea.Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute chadema kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Mkutano mkuu wa CCM ndio kikao kikuu cha maamuzi yeyote akidi ilitimia baraza kuu fanya maamuzi hicho chenu cha baraza kuu kilikuwa halali kabisa ila akidi ya kuwapitisha hao wajumbe wenu haikutimia.Atengue na uteuzi wa Samia huko CCM alikojiteua tuone kweli anafanya kazi
Bunge la ulaya ni nani ? Au unawaona ni watu wamuhimu kwasababu wanatetea haki zenu upinde?Toolate Bunge lote la Ulaya na UK wanajua kinachoendelea.
Hamna kuitisha mkutano tena, huyo mtungi kama ataweza akifute tu, iwe furaha na ndelemo kwa ccm.Ushauri wako mbovu
Msajili kasema itisheni baraza kuu akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche aache kupotosha msajili ambayo hakusema
Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
Acheni mihemko itisheni kikao cha baraza kuu.
Msipoitisha kitafutwa kweli
Catholic ni kanisa hawana chama cha cha siasa wala kikundi cha siasa ndani yakeNatoa wito kwa msajili wa vyama aifute chadema kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
No reform no election 💯 ✅ 💯John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945
stress ni kitu mbaya sana aise,John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945

Acha kifutwe.Ushauri wako mbovu
Msajili kasema itisheni baraza kuu akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche aache kupotosha msajili ambayo hakusema
Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
Acheni mihemko itisheni kikao cha baraza kuu.
Msipoitisha kitafutwa kweli
Kifupi Lisu na Heche wamepania kwa dhati kabisa kuua CHADEMAstress ni kitu mbaya sana aise,
kuropoka kilofa namna hii ndio kunasababisha kila moja anakimbia.
eti huo uropokaji wa huyo kibaka lofa ndio msimamo wa chadema nchi nzima![]()
Kumbe ujui kua ilo la msajili lipo Kisheria.....Daah mnaleta ukurya kwenye sheria etiHeche shikilia hapohapo Muraaa ,ifike mahali sheria ziheshimike sio kuamuliana tu nani awe nani na kipi kiwe namna gani ,No .
Vita ni vita muraaaa
Sure gentleman,Kifupi Lisu na Heche wamepania kwa dhati kabisa kuua CHADEMA
Ndio maana waona mbali wameamua kuikimbia CHADEMA

Kwahiyo na CCM yetu isajiliwe kama kukundi cha mjahidini?Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute chadema kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
kah!John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945