Superhuman 1995
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 1,852
- 3,065
Huyo ni chawaKaongee hivi mbele ya Wasira kama hajakulima makofi. Mzee wa watu kila siku anaumiza kichwa we unasema Chadema kwisha kazi.
Huyo ni chawaKaongee hivi mbele ya Wasira kama hajakulima makofi. Mzee wa watu kila siku anaumiza kichwa we unasema Chadema kwisha kazi.
Unachochea udini kwa njia ya kijinga sana?.Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
NONSENSENatoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Mwenye uwezo wa kusimamisha uongozi ni MahakamaHeche shikilia hapohapo Muraaa ,ifike mahali sheria ziheshimike sio kuamuliana tu nani awe nani na kipi kiwe namna gani ,No .
Vita ni vita muraaaa
Yaani kiukweli nisingeweza kuvumilia kenge kama wewe eti unaongea siasa. Ningelikushughulikia wewe na vizaI vyako vyote. Sasa Kwakuwa Sina mamlaka endelea sana kushukuru na kuropoka.Kwa Akili zako finyu ndiyo maana hujawa Msajili kwani mwevu mvuta bangi kama wewe ungefanya maamuzi haramu ya kishetani na kuwagharimu ccm watesi wenzako, mungu siyo mjinga ndiyo maana hujapewa cheo hicho kakuacha uwe unavuta bangi na kuwaza ushetani huko gheto
Sasa hawakusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, ina maana hawashiriki uchaguzi wa Oktoba 2025. Wao wanaendelea kubwabwaja na No Reform No Elections, je itawasaidia nini?Kaongee hivi mbele ya Wasira kama hajakulima makofi. Mzee wa watu kila siku anaumiza kichwa we unasema Chadema kwisha kazi.
💩🚮Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Jaji Mutungi ameshindwa kuwazuia Covid 19 kufanya siasa huku wakiwa hawana chama! Uhalali wa yeye kuwazuia ulianzia pale mahakama ilipothibitisha kufukuzwa kwao, na hiyohiyo mahakama ilishindwa kuhakikisha kuwa hukumu yake inatekelezwa kuwa wale si wanachama halali wa wa Chadema.John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945
Hawa hawana akili, wanaweza kuwateua walewale na Baraza likawapitisha. Ya,nini kuvutana mbona suluhisho ni rahisi sana.John Heche
Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
View attachment 3332945
Mama alivyoteuliwa kugombea urais peke yake yeye na nchimbi walifuata utaratibu gan mkuu kwa mujibu wa chamaMsajili kasema itisheni baraza akidi itimie mkirudisha hao hao hayo yenu lakini wapitishwe na akidi iliyotima iiidhinishe hizo teuzi zake.Heche acha kupotosha.Usimlishe msajili ambayo hakusema
Hakuna mahali msajili kasema mbadilishe au msibadilishe
Hawa wamekuja kuua Chama kwa maelekezo ya Msigwa na TL maana walikaa kule Singida zaidi ya wiki mbili.Heche hataki kukaa vikao wala kupokea mawazo ya wengine.Hakuna taasisi inayoendeshwa bila vikao.Hivi tangi Heche aingie amesajili wanachama wangapi!!?naomba mwenye jibu atusaidie hapa.Hawataki kusema wakishindwa kuzuia uchaguzi itakuwaje,wakati mahakamani kwenyewe wanavunjwa miguu je kwenye uchaguzi hawatavujwa Shingo!!?Pale Mbinga TL alichukuliwa katikati ya watu zaidi ya 5000, hapo inakuwaje kwenye uchaguziItisheni baraza kuu acheni kutishia nyau
Hii ni maajabu!!😳😆Mwaka 2025 utakumbukwa daima.
Maelfu kwa maelfu wanakikimbia chama baada tu ya Heche na Lissu kuwa viongozi. hili halijawahi kutokea katika uhai wa chadema.
Chama kinaelekea KUZIMU
Quote
Mutungi bila shaka alikuwa tungi wakati anafanya hayo maamuzi.
Na CCM ifutwe kama cha siasa na isajilwe kama genge la kigaidi.Natoa wito kwa msajili wa vyama aifute CHADEMA kama chama cha siasa na kisajiliwe kama kikundi cha kikatoliki
Usitishe watu kwani itakuwa mara ya kwanza kukamatwa labda sema analazisha auwawe kama walivyomuua Mzee Kibao na Mdude NyagaliHeche analazimisha kukamatwa sasa
Huyo mzee anavuta bangi sana na yuko over 70 years lakini bado yuko kwenye payroll ya serikali kwa kazi maalum ya kuhujumu upinzani.Mutungi bila shaka alikuwa tungi wakati anafanya hayo maamuzi.